Kwanini ajira za Tanzania zikitangazwa zinaishia hewani?

Kwanini ajira za Tanzania zikitangazwa zinaishia hewani?

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Sio mara moja au mara mbili ajira za ualimu zimekuwa zikitangazwa na zinaishia hewani.

Hivi ina maana hii serikali mmeamua kuwaona waalimu ni kada flani iliyojaa mafara mpaka mnaamua kuwafanyia maigizo?

Kuna haja gani ya kutangaza ajira hewa?

Acheni kutesa watoto wa watu.

Hakuna graduate mwalimu ambae ameishakuja kwenu kuwaomba ugali au pesa ya kununua unga.
 
Jiandae kwa usaili mkuu ajira zilizotangazwa mwezi wa 8 watu wameitwa usaili hakuna ajira zingine zilizotangazwa tofauti na hapo
 
Sio mara moja au mara mbili ajira za ualimu zimekuwa zikitangazwa na zinaishia hewani.

Hivi ina maana hii serikali mmeamua kuwaona waalimu ni kada flani iliyojaa mafara mpaka mnaamua kuwafanyia maigizo?

Kuna haja gani ya kutangaza ajira hewa?

Acheni kutesa watoto wa watu.

Hakuna graduate mwalimu ambae ameishakuja kwenu kuwaomba ugali au pesa ya kununua unga.
Inakera Sana CCM na akina simbachawene
 
Sio mara moja au mara mbili ajira za ualimu zimekuwa zikitangazwa na zinaishia hewani.

Hivi ina maana hii serikali mmeamua kuwaona waalimu ni kada flani iliyojaa mafara mpaka mnaamua kuwafanyia maigizo?

Kuna haja gani ya kutangaza ajira hewa?

Acheni kutesa watoto wa watu.

Hakuna graduate mwalimu ambae ameishakuja kwenu kuwaomba ugali au pesa ya kununua unga.
Hivi walishawahi kutangaza ajira za uwalimu na zikapotelea hewani e?
 
We jamaa nifala dana
fala ni wewe mwenyewe, uwezo wako wa kufikiri unaishia pale vidole vyako vya miguu vinapoishia....huwezi kufikiria hata miaka kumi ijayo utakuwa wapi, pumbavu sana.......na siwezi kukuraumu kwa sababu kila point ya maisha yako hujui kuitafuta zaidi ya kutafuniwa na kumezeshwa, ku*a wewe.
 
fala ni wewe mwenyewe, uwezo wako wa kufikiri unaishia pale vidole vyako vya miguu vinapoishia....huwezi kufikiria hata miaka kumi ijayo utakuwa wapi, pumbavu sana.......na siwezi kukuraumu kwa sababu kila point ya maisha yako hujui kuitafuta zaidi ya kutafuniwa na kumezeshwa, ku*a wewe.
Nonsense
 
Back
Top Bottom