Uombe ili iweje? Maneno hutamki hata picha nalo linakushinda? Unajibwaga tu mtupu kama ulivozaliwa afu baaaaaaaaas!
Yani bomba lako mwenyewe afu kuchota maji ushindwe...unachekesha!!!!
Akinadada wengi ni madomo zege ndiyo maana hawa wezi kuomba .
Halafu wewe muone kwanza kwanini umeota mabawa ghafula??????
Nimeogopa kuliwa, make watu wangekuta manyoya tu....
ah kwa mwanamke hamnaga kuomba kwa kuongea,kama maneno unashindwa hata vitendo?!.kitendo cha kukaa kimitego tego,mara umejishka hapa mara pale,macho yamelegea huku unampapasa dushelele!! .mwenyewe ataelewa tu!