Kwanini akinadada hatuwezi kuomba gegedo...?

Wadosi tu ndio raha. Akimaliza kula anamwambia mumewe "nasikia njaa".
 
Wadosi tu ndio raha. Akimaliza kula anamwambia mumewe "nasikia njaa".
Hii nayo kali mwanawakwetu umemaliza kula alafu njaa ndo yaja!Ni kwa mume au Nke.Kwani hata mimi kwangu yananipata pia cjui mmeumbwaje nyie wenzetu.
 
kumbe huwa mnapendaaaa eeee
Usipime yaani ni balaa,hiyo mechi huwa nzuri na kama mtu huwa anachelewa kurudi nyumbani anajitahidi kuwahi ili aone kama atabahatika tena.
 
sio uongo wala utani wanawake wengi wahanga wa hili unakuta mdada anatamani gegego ila kumwomba mumewe au mpenzi wake anaogopa anaona aibu.
me mwenyenye nilikua mhanga wa hili jambo ila kwa sasa najitosa nikitaka mzigo naomba kama kawa.
yaani kweli mwanamke unataka mgegedo unashindwa kuomba kwa vitendo tuu....aisee wee ebinua tako tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…