Anaishi kwa kukariri huyu anadhani jinsi yeye anavyotokwa na mijasho kuipata tsh 5,000 kwa siku basi anadhani wote tuko kama yeye.Wengine tupo online kugoogle jinsi ya kutumia hela make hela zipo afu sijui nizifanyie nini 😀
Tafuteni kazi za kufanya sio kupoteza muda kufuatilia maisha ya watu...Mkishapata kazi ya kuuza maduka ya wahindi mnajiona mna bonge la ajira, kabacholi hakupi hata dk ya kushika simu
pumba!Kwakuwa katika social media huwa mnaangalia mtu ana followers kuonyesha kukubalika. .mtoa uzi nakupa home work. ..tuambie kiba ana followers wangapi? Instagram kajiunga lini? Katoa nyimbo ngapi tangu arudi rasmi. .ukija na majibu kamili ndo utajua kwanini huyu wanamuita king
Kwakuwa katika social media huwa mnaangalia mtu ana followers kuonyesha kukubalika. .mtoa uzi nakupa home work. ..tuambie kiba ana followers wangapi? Instagram kajiunga lini? Katoa nyimbo ngapi tangu arudi rasmi. .ukija na majibu kamili ndo utajua kwanini huyu wanamuita king
Kadri siku zinavozidi kwenda teknolojia inakua. Siku hizi hatujazi masongi kwenye memory card huko vibandani ni mwendo wa online streaming tu.
Basi katika pitapita zangu nimedownload app ya spotify inayokubalika duniani kwa asilimia kubwa na kuna wasanii wakubwa wengi tu. Ile nasearch 'Ali kiba' nothing, najaribu 'Ally kiba' nothing, nasearch nyimbo zake hamna kitu, ikawa shida kweli!
Nikaona nisearch na wasanii wanaokubalika Africa nzima kama kina Kcee, Diamond, Wizkid wamo bila tatizo.
Tatizo ni lipi hasa kwa msanii Kiba kutokujulikana nje ya mipaka?