Kwanini Ali Kiba hataki bifu lake na Diamond liishe?

ebu jiulize kwann diamond anataka ilo beef liishe kwa wakati huu?!! mda wote alikuwa wapi sasa hivi ndio ajifanye hana beef na mtu?!....dai bwege tu amuache kiba afanye yake na ameshamwambia kua hataki mazoea
 
ebu jiulize kwann diamond anataka ilo beef liishe kwa wakati huu?!! mda wote alikuwa wapi sasa hivi ndio ajifanye hana beef na mtu?!....dai bwege tu amuache kiba afanye yake na ameshamwambia kua hataki mazoea
Kaonyesha uzaifu wa hari ya juu sana....japo kwa upande wake aliona kama ata pata sympathy kwa wananchi lkn cha ajabu wakamgeuka na kumuona kiba shujaa wa mchezo.....so kama mtu mzima mwenye akili zake atakuwa kajiongeza next time asizungumzie kabisa swali lolote linalomuhusu kiba....domo katuaibisha sana sisi mashabiki zake
 
Domo hafaidiki na beef coz kavuma bila mgongo wa beef na msanii yyt....lkn kiba kaonesha uthubutu wa mziki baada ya kurudi kwa mgongo wa beef na mond....imagine beef liishe leo kuna mmoja apo atapoteza mashabiki wengi sana kuliko mwenzake.....uamini au usiamin lkn huwo ndo ukweli
 
Jay z anamtandao unaitwa Tidal..kwani wanamuziki wote wanapeleka kazi zao...Kiba wasikuzoee mazoe ....Diamond ameshamaliza collabo na wasanii wote wa Kali Afrika....Downfall mark my words
Akili zingine zingepimwa uzito zisingefika hata gram
 
KWANI YE MJINGA?
AHAHAHHAHAHAHHAHHA KIBA KOMAA MWAYEGO!
bifu linaishaje sasa?
halafu ndo iweje?
WEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE USIKUBALIIIIIIIIII!

wanaokwambia liishe hawakutakii mema!
YANI KOMAAAAAA!
TANGAZA MGOGORO MPK UN!
sa unakubalije fo exampo?
WATU BANA!eti kiba kubali yaishe!
WEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE !
Iceman 3D we ungekuwa kiba ungekubali?
sema za ukweli tu wa Mungu!
 
UShabiki mwingine ni shida domo si ndio alianza bifu sasa anataka liishe ili iweje .kilichomfanya babu tale azime mic kule mombasa nini .ungekuwa wewe ungelimaliza hilo bifu? Hapo kuna jambo la hatari litakuja kiba usikubali ng'oooo
unawooona mambo haya!
YANI KIBA KOMAAAA HAPA HAPA!
DAAADECK !
HAKUNA KUMALIZA BIFU!
 
Naomba msaada. Mmeoanisha vipi andiko la kiba juu ya kumjibu diamond?
 
Bifu lenyewe we unalijua au na ww ni kama upepo alafu kumbuka kiba hakua kwenye gem mda frani we unajua nn alikua anafanya au alikua wp kwani kunaulazima gani wa mtu na mtu kufatana au kua pamoja kila mtu ana maisha yake kwani kila mtu akifanya yake kuna nn kitatokea
 
UShabiki mwingine ni shida domo si ndio alianza bifu sasa anataka liishe ili iweje .kilichomfanya babu tale azime mic kule mombasa nini .ungekuwa wewe ungelimaliza hilo bifu? Hapo kuna jambo la hatari litakuja kiba usikubali ng'oooo
Wala ata asimalize afanye mambo yake aachana na domo densa yule
 
Daaah watu wanamaneno iv nataka nijue domo anakipaji na ni msanii mkubwa kama usemavyo anamtafuta mazungumzo kiba wa nn au anamchango gani katika maisha yake au d bila kiba haishi au ni nn hasa sijaelewa
 
Ni kweli ww unaweza ukawa umeiona kesho[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji85]
 
Mmmmmh Ila wa TZ wanamatusi hatarii
 
Daaah watu mlifunzwa na nani kuongea
 
Kwani mkito ni international? Mbona web ya wasafi imekaa vzr na manunuzi ni simple zaid ya mkito.
Sema ni vile atamkazia coz anajua ni kama kumtajirisha mondi
Ana mtajilisha mond ndo aje.kwani wasafi ni bosi wa mwisho ni nani naomba nijue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…