Kwanini Ali Kiba hataki bifu lake na Diamond liishe?

"Sina matatizo na kiba" ni maneno tu ya kinafiki ya diamond,na kiba anajua hilo ndo maana bifu haliwezi kuisha kwa upande wake,leo anaongea hivyo kesho utaskia km mziki ni sauti tungemsaini wema sepetu waswahili yataka akili nyingi kubaini unafiki wao..

na nyie kwa usen*ge wenu eti kiba amalize bifu atakula wapi km vile salam na bab tale ndo wanaomtafutia kiba mashavu,uzuri ni maneno tu hayo ambayo hayavunji mfupa hata bashite mlimuandama nayo lkn jamaa bado anapiga mzigo tena na leo kapiga bonge la party la kujipongeza...ya bashite yanaumiza sana[emoji24] [emoji24] [emoji24]

Pesa ngumu jamani tafuteni shughuli za kufanya waacheni kiba,diamond na bashite wapige kazi zao
 
Kiba wa uongooo simply he is jealous of mond atasubiri sana
 
UShabiki mwingine ni shida domo si ndio alianza bifu sasa anataka liishe ili iweje .kilichomfanya babu tale azime mic kule mombasa nini .ungekuwa wewe ungelimaliza hilo bifu? Hapo kuna jambo la hatari litakuja kiba usikubali ng'oooo
Acha kukurupuka dogo
Unajua beef lilianza lini? Then Babu tale lini alizima mic mombasa? Nyie ndo akina Bashite....
 
Mhhh! Ndugu unaishi Darisalamu kweli? Mi siyajui ya huko hebu nihadithie basi Diamond alianzishaje Bifu, kumbe Babu tale alizima mic mombasa, ilikiwaje? Haya mambo yanasikitisha kweli kweli, kwanini wanafanya hivyo lakini dah!
Hahahaaaaa
Mkuu huyu atakua wa kolmijei kule kwa akina Bashite albati Dawudiii
 
Ugomvi wao nyie unawahusu nini Na Hata wakipatana mtafaidika nini !!!!!! Acheni upambe angalieni mambo mengne kinatupak wamekufa wakiwa bado Na ugomvi sembuse hapa TZ aah
 
Hakunaga mashabiki wa kiba kuna mashabiki wa wema na mondi! subil siku mondi na wema warudiane uone kiba anavyobaki mweupe
Enzi za Cinderela,Nakshi Mrembo,Run Dunia,Dushelele Enzi hizo anaimba na R.Kelly huyo Dimond na Wema walikuwepo!?

Unataka kusema Enzi hizo hakuwa na mashabiki eboooo
 
Enzi za Cinderela,Nakshi Mrembo,Run Dunia,Dushelele Enzi hizo anaimba na R.Kelly huyo Dimond na Wema walikuwepo!?

Unataka kusema Enzi hizo hakuwa na mashabiki eboooo
Kumbe zote izo zake[emoji14] [emoji14] na uyo R. Kelly ndo nan[emoji5]
 
Hilo bifu ndo linamfanya awe na mashabiki wengi bifu likisha 2 mmoja wapo anakwenda na maji
 
sasa wewe unadhani bahari ikikauka samaki wataishi wapi ndo kama diamond na kiba mmoja bahari mwingine samaki
 
Sikumbali diamond, ila kiba ana dharau sana na jeuri, anaficha uchafu wake kwa upole wake
Jay z anamtandao unaitwa Tidal..kwani wanamuziki wote wanapeleka kazi zao...Kiba wasikuzoee mazoe ....Diamond ameshamaliza collabo na wasanii wote wa Kali Afrika....Downfall mark my words
 
Hakunaga mashabiki wa kiba kuna mashabiki wa wema na mondi! subil siku mondi na wema warudiane uone kiba anavyobaki mweupe
Una miaka mingapi?Domo Jana kasema show yake ya kwanza England alimpigia simu King Kiba akamuulizia jinsi ya kupata visa...King kitamboo anatomba mawingu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…