Kwanini Ally Kamwe ameshindwa kuthibitisha kama Lucy Eymael amelipwa deni lake?

Kwanini Ally Kamwe ameshindwa kuthibitisha kama Lucy Eymael amelipwa deni lake?

Scars

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2017
Posts
48,055
Reaction score
116,512
Nimesikia mahojiano ya simu yaliyofanywa kwenye kituo kimoja cha redio cha Wasafi kufuatia tetesi zinazoenea za Yanga kufungiwa usajili.

Ally Kamwe ameonekana kusikitishwa na uvumi huo na kuuita habari za uongo.

Lakini hoja aliyotumia kupinga tetesi ni kwamba taarifa hiyo haijatolewa na official website za FIFA bali ni watu tu wameandika.

Mtangazaji alipotaka kuhitimisha mahojiano kwa kumuuliza Ally Kamwe kama Yanga walikwisha mlipa Lucy Eymael, cha ajabu Ally Kamwe alipatwa na kigugumizi na kushindwa kujibu swali hilo .

Badala yake alisema ni swala la taasisi hivyo hawezi kujibu.

Mpaka hapa Ally Kamwe ameonesha uwalakini kwenye swala la uwezekano wa Yanga kulipa deni hilo.
 
FB_IMG_1682646137959 (1).jpg
 
Kwasababu huwezi kuthibitisha "Conspirace Theory".
 
Nimesikia mahojiano ya simu yaliyofanywa kwenye kituo kimoja cha redio cha Wasafi kufuatia tetesi zinazoenea za Yanga kufungiwa usajili.

Ally Kamwe ameonekana kusikitishwa na uvumi huo na kuuita habari za uongo.

Lakini hoja aliyotumia kupinga tetesi ni kwamba taarifa hiyo haijatolewa na official website za FIFA bali ni watu tu wameandika.

Mtangazaji alipotaka kuhitimisha mahojiano kwa kumuuliza Ally Kamwe kama Yanga walikwisha mlipa Lucy Eymael, cha ajabu Ally Kamwe alipatwa na kigugumizi na kushindwa kujibu swali hilo .

Badala yake alisema ni swala la taasisi hivyo hawezi kujibu.

Mpaka hapa Ally Kamwe ameonesha uwalakini kwenye swala la uwezekano wa Yanga kulioa deni hilo.
Watalilipa kimya kimya halafu watanyamaza. Haya mambo yote yanaenda kwenye rekodi za CAF/FIFA, halafu kesho watadai Barbara anafanya mipango Simba ipendelewe.
 
Watalilipa kimya kimya halafu watanyamaza. Haya mambo yote yanaenda kwenye rekodi za CAF/FIFA, halafu kesho watadai Barbara anafanya mipango Simba ipendelewe.
Hili hata mimi nimelihisi na tena this time around kutakuwa na penati kubwa

Watakuwa wanaumia kisirisiri

Halafu baada ya hapa inabidi waitishe kikao tena tuangalie ripoti upya kama ile faida bado ipo kama ilivyo tangazwa.
 
Hili hata mimi nimelihisi na tena this time around kutakuwa na penati kubwa

Watakuwa wanaumia kisirisiri

Halafu baada ya hapa inabidi waitishe kikao tena tuangalie ripoti upya kama ile faida bado ipo kama ilivyo tangazwa.
Hapo kuna 80M za faini ya Rivers tena mwezi wa 5 tu hapo ambazo hawajaziripoti pia, sasa sijui kuna malipo yanafanywa na watu binafsi ndiyo maana hawajumuishi kwenye mahesabu au vipi. Wameipenda wenyewe.
 
Hapo kuna 80M za faini ya Rivers tena mwezi wa 5 tu hapo ambazo hawajaziripoti pia, sasa sijui kuna malipo yanafanywa na watu binafsi ndiyo maana hawajumuishi kwenye mahesabu au vipi. Wameipenda wenyewe.
Bado internal debts za Yanga Princess na wale wachezaji wawili Yanick Bangala na Djuma Shabani

Aloo mbona msala
 
Bado internal debts za Yanga Princess na wale wachezaji wawili Yanick Bangala na Djuma Shabani

Aloo mbona msala
Muda wa kusajili timu yenu mnautumia kwa porojo, ligi ikianza muanze kusema ni bahasha za GSM.

Yanga ikishaongoza ligi ni mpaka inachukuwa ubingwa huwa haishuki.
 
Muda wa kusajili timu yenu mnautumia kwa porojo, ligi ikianza muanze kusema ni bahasha za GSM.

Yanga ikishaongoza ligi ni mpaka inachukuwa ubingwa huwa haishuki.
Mmetenga kiasi gani cha bajeti msimu ujao kwa "maandalizi ya mechi"?
 
Muda wa kusajili timu yenu mnautumia kwa porojo, ligi ikianza muanze kusema ni bahasha za GSM.

Yanga ikishaongoza ligi ni mpaka inachukuwa ubingwa huwa haishuki.
Porojo? Kwani sis ndio tunaozianzisha au wachezaji wenu?

Lipeni kwa wakati wachezaji wenu haya mambo ya madeni yaliyopitiliza yanaishushia hadhi Club.
 
Back
Top Bottom