Kwanini asilimia kubwa ya wanawake wanaotengeneza maudhui mtandaoni ni kuhusu mahusiano au ngono?

Kwanini asilimia kubwa ya wanawake wanaotengeneza maudhui mtandaoni ni kuhusu mahusiano au ngono?

DAN LOKOMOTIVE

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
1,528
Reaction score
1,955
Jamani naomba tusaidiane content creators wa kike asilimia kubwa ni kujadili mahusiano na ngono ni wachache sana wanaotoa maudhui tofauti.

Maana kama vijana kuna mambo kibao ya kuongelea ila ukitoka wa kwanza anasema mahusiano mwingine anazungumzia ngono bila hata aibu. Na simaanishi kwamba wa kiume hawaweki haya maudhui ila watoto wa kike ni kila leo
 
Naandika pointi
tapatalk_1720538258582.jpeg
 
Jamani naomba tusaidiane content creators wakike asilimia kubwa ni kujadili mahusiona na ngono ni wachche sana wanaotoa maudhui tofauti ..Maana kama vijana kuna mambo kibao ya kuongelea ila ukitoka wa kwanza anasema mahusiano mwingine anazungumzia ngono bila hata aibu. Na simaanishi kwamba wakiume hawa weki haya maudhui ila watoto wakike ni kila leo
Unadhani Mwanamke atazungumza Nini...!?
 
1. Usingesema 'asilimia kubwa' ungesema 'wengi' kwasababu tukisema asilimia kubwa huwa tunaambatanisha tafiti zenye takwimu.

2. Wanatafuta masponsor😂 si wadangaji hao? Au unadhani kuna washauri wa ndoa? Labda.
 
Haupo sahihi, labda useme kwamba asilimia kubwa ya wanawake ambao wewe unawafatilia kwa kutengeneza maudhui mitandaoni wana deal na mahusiano na ngono tu.

Wapo wengi zaidi ambao hawajishughulishi kabisa na hizo vitu.
 
Jamani naomba tusaidiane content creators wa kike asilimia kubwa ni kujadili mahusiano na ngono ni wachache sana wanaotoa maudhui tofauti.

Maana kama vijana kuna mambo kibao ya kuongelea ila ukitoka wa kwanza anasema mahusiano mwingine anazungumzia ngono bila hata aibu. Na simaanishi kwamba wa kiume hawaweki haya maudhui ila watoto wa kike ni kila leo
Akili zao ndo zilipoishia
 
Back
Top Bottom