Kwanini asilimia kubwa ya watu mashuhuri wanakuwaga na majina ya kipekee?

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
4,824
Reaction score
5,587
Watu maarufu /mashuhuri wengi wanakuwaga na majina ya kipekee au hadimu yani unakuta hilo jina analo yeye tu na ukoo wake .
Mfano:
1.Nyerere
2.JW Bush
3.Osama
4.Gadaff
5.Lowassa
6.Kikwete
7.Mkapa
8.Magufuli
9.Makonda
10.Mbowe
11.Trumph
12.Obama
13.Nape Nnauye
14.Tundu Lissu

Huu ni mfano tu lakini naamini wapo wengi sana ambao ni mashuhuri ambao katika majina yao kuna jina hujawahi kulisikia sehemu nyingine.
 
Sijakuelewa maana yako yaani unataka kuniambia hayo majina hakuna watu wengine wanaotumia hayo majina? Ila somehow Kuna kaukweli kidogo Kuna majina ambayo hata watu wake tu ni noma mfano mimi Jina langu limetulia Sana. Ni mtu flan mwenye hela nyingi za kijanja Janja nikisema niwe maarufu ni dakika moja tu
 
Hata lako na ukoo wenu mbona halijawahi kusikika fanya kuliinua
 

Bashite aka 0%
 
Kama wapo basi ni kwenye ukoo wao au wameyapata kwa wazazi wao kuvutiwa na ao watu mfano jina mandela wengi wamelioata baada ya Mandela kutoka gerezani
 
Kinjeketile Ngwale
Zwangendaba
Twalipo
Zito
Matumla
Nguza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…