Kwanini askari hunyoa afro?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Samahani wakuu kwa kuwasumbua naomba nijuzwe kwanini askari wanapendelea kunyoa style ya kupunguza nywele pembeni na kuziacha kwa juu kidogo?
 
Labda kofia ikae vizuri.. ..mawazo tu ya kijiweni.....hapo hajaachia mustachi
 
Sifa moja wapo ya Askari au afisa ni kuwa NEATY.
NEATY ni utanashati au usafi
- Kuwa na nywele fupi
-Kucha fupi
-Meno Safi
-Nguo safi n.k
Hayo ya afro ni kujiongeza tu hayajaandikwa popote
 
Hivi unaijua Afro wewe?
Kaangalie hip hop ya miaka ya 90 ndio uje gspa tena kuuliza.
Punk ni Afro siku hizi.
Wewe utakuwa kitoto kidogo kisichojua mambo, au ulizaliwa kijijini sana ambapo hakuna vinyozi.
 
Hivi unaijua Afro wewe?
Kaangalie hip hop ya miaka ya 90 ndio uje gspa tena kuuliza.
Punk ni Afro siku hizi.
Wewe utakuwa kitoto kidogo kisichojua mambo, au ulizaliwa kijijini sana ambapo hakuna vinyozi.
Sio punk askari unyoa denge
 
Hivi unaijua Afro wewe?
Kaangalie hip hop ya miaka ya 90 ndio uje gspa tena kuuliza.
Punk ni Afro siku hizi.
Wewe utakuwa kitoto kidogo kisichojua mambo, au ulizaliwa kijijini sana ambapo hakuna vinyozi.
Ningeweza ningemwekea picha yangu hapa aone na ajue afro ni nini. Ila ngoja nimpe hata picha ya mtandaoni
 
Sifa moja wapo ya Askari au afisa ni kuwa NEATY.
NEATY ni utanashati au usafi
- Kuwa na nywele fupi
-Kucha fupi
-Meno Safi
-Nguo safi n.k
Hayo ya afro ni kujiongeza tu hayajaandikwa popote


Guess u meant neat mkuu.
 
Ningeweza ningemwekea picha yangu hapa aone na ajue afro ni nini. Ila ngoja nimpe hata picha ya mtandaoni View attachment 1964125
Sisi wenye kipili pili ni shida.My wife ana Afro matata mimi kipilipili kama mahadzabe, nikifuga nywele nchi mbili tu zinawasha na kuwa nyekundu.Napenda sana Afro, Afro is magic for black people ila sio wote wamejaliwa kuwa na Afro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…