Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
iv ni kwanini kila siku matukio ya askar kuwapiga watu hutokea dar wala si mikoan?
Ina maana watu wa dar ndo kitonga sana?
Ina maana maaskar wa dar washaga waona wanaume wa dar kuwa ni mteremko sana kwahiyo wanaweza kuwatembezea kichapo cha mbwa mda wowote ule?
Mbona huku mikoan hiyo kitu haipo
Juz juz maaskari wa ffu walitembeza kichapo kwa mtaa fulan wa dar, had baadhi ya wanaume wa dar wakaanza kuleta mabandiko kuwa wamepigwa kama kuku na huku hawana kosa, nakumbuka walitembezewa kichapo had mwana mke ambaye ni mkuu wa wilaya akaenda kuwasaidia na kuwafulusha wale maaskir
Ina maana watu wa dar hamuwez kujitetea hadi muwe mnasubiria wanawake kama MAMA MJEMA aje awasaidie?
Jana tena maaskar wa magereza wametembeza kichapo usiku kucha, kichapo cha mbwa ndo kilichotembea Jana wanaume wa dar wamechapwa makofi kama hawana akili utazan watoto wadogo
Na hapa wamepigwa mtaa mzima ivi kweli mtaa mzima mnakubali kupigwa mnatazama hivi hivi aisee
Mbona huku mikoan mambo ya kuonewa kama hayo hayatokei?
Ina maana dar ndo kitonga sana?
LONDON BOY
iv ni kwanini kila siku matukio ya askar kuwapiga watu hutokea dar wala si mikoan?
Ina maana watu wa dar ndo kitonga sana?
Ina maana maaskar wa dar washaga waona wanaume wa dar kuwa ni mteremko sana kwahiyo wanaweza kuwatembezea kichapo cha mbwa mda wowote ule?
Mbona huku mikoan hiyo kitu haipo
Juz juz maaskari wa ffu walitembeza kichapo kwa mtaa fulan wa dar, had baadhi ya wanaume wa dar wakaanza kuleta mabandiko kuwa wamepigwa kama kuku na huku hawana kosa, nakumbuka walitembezewa kichapo had mwana mke ambaye ni mkuu wa wilaya akaenda kuwasaidia na kuwafulusha wale maaskir
Ina maana watu wa dar hamuwez kujitetea hadi muwe mnasubiria wanawake kama MAMA MJEMA aje awasaidie?
Jana tena maaskar wa magereza wametembeza kichapo usiku kucha, kichapo cha mbwa ndo kilichotembea Jana wanaume wa dar wamechapwa makofi kama hawana akili utazan watoto wadogo
Na hapa wamepigwa mtaa mzima ivi kweli mtaa mzima mnakubali kupigwa mnatazama hivi hivi aisee
Mbona huku mikoan mambo ya kuonewa kama hayo hayatokei?
Ina maana dar ndo kitonga sana?
LONDON BOY