Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mkuu mbona unafoka?Unataka kuleta ushamba wako hapa
Na kama hapendezi ni mkeo tu wengine wako vizuri na sasa wanajiamini zaidi kuliko sketi.
Za jioni
Zaman askari wa kike walipendeza sana na zile sale zao yaani sketi zao achana na hizi za sasa ambazo wana vaa kwa kweli walipendeza sana zile sale zilikuwa zina wapendeza wote ila za sasa hapana kama inawezekana huyu igp mpya arudishe lile vazi.
Wali wavutia wadada wengi kujiunga na upolice lakini now imekosa mvuto haupo kabisa
Au ninyi mnaonaje?
Ata wew pia ulikuwa Kama mimi tuSale[emoji735]
Sare[emoji3514]
1.kajifunze kuandika
2.Acha ushamba
MashallahHiyo hapo mkuuView attachment 2299094
Akiwa kipigapasi miguu inakuwa kama mdeki wa bunduki