Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Nina TAFAKURI NJE YA 18
Tanzania kuna mengi tunakosea na kwakuwa Hivi vitu havisemwi kwa Hadhira na watu maarufu basi katu hatutaona thamani ya taaluma ya soka nje ya Sifa na kuponda kimatukio
Soka la Tanzania linadidimia na hii Nadharia ni moja ya Sababu Nyeti
Moja ya watu wa karibu zaidi kwa makocha wakubwa na wana nguvu katika maamuzi ya kiufundi na wao wanakiri ni
Gianluca Conte kaka wa Antonio Conte
Devide Ancelotti mtoto wa Carlo Ancelotti
Mikel Arteta na Txiki Begiristain kwa Pep Guardiola
Rui Faria Kwa Jose Mourinho
Pepijn Ljinders kwa Klopp
Hawa sio assistants hawa ndio walikuwa wasiri wa majamaa, KITAALAMU KATIKA TIMU KUNA KOCHA MMOJA TU. WENGINE WANASHAURI NA KUFUATA MAAGIZO TU.
WASAIDIZI KAZI YAO KU PICK ORDER NA KU REFLECT KAMA YALIVYO KIKOSINI.
SIFA YA WASAIDIZI NI KUMILIKI SIFA AMBAYO INA MSAADA KWA KOCHA MKUU KIUFUNDI NA PIS KUWA MUAMINIFU WA MAWAZO NA MAONO YA KOCHA MKUU.
Football world works very different na grapevine news za Tz
Ndio maana watu hawaelewani baina kocha msaidizi na kocha mkuu Tz sababu kuna sumu ipo kuhusu Managerial relationships.
Ndio maana watu hawakuelewa why Giggs alijiengua aliposajiliwa Mourinho
Hawakuelewa Carrick anaondokaje na Ralf Rangnick aliamua kum appoint Darren Fletcher ahead yake
Ni vitu natamani sana kuelimisha watu wa soka la Tz ila wao wanapima umaarufu influence na admiration
Tanzania kuna mengi tunakosea na kwakuwa Hivi vitu havisemwi kwa Hadhira na watu maarufu basi katu hatutaona thamani ya taaluma ya soka nje ya Sifa na kuponda kimatukio
Soka la Tanzania linadidimia na hii Nadharia ni moja ya Sababu Nyeti
Moja ya watu wa karibu zaidi kwa makocha wakubwa na wana nguvu katika maamuzi ya kiufundi na wao wanakiri ni
Gianluca Conte kaka wa Antonio Conte
Devide Ancelotti mtoto wa Carlo Ancelotti
Mikel Arteta na Txiki Begiristain kwa Pep Guardiola
Rui Faria Kwa Jose Mourinho
Pepijn Ljinders kwa Klopp
Hawa sio assistants hawa ndio walikuwa wasiri wa majamaa, KITAALAMU KATIKA TIMU KUNA KOCHA MMOJA TU. WENGINE WANASHAURI NA KUFUATA MAAGIZO TU.
WASAIDIZI KAZI YAO KU PICK ORDER NA KU REFLECT KAMA YALIVYO KIKOSINI.
SIFA YA WASAIDIZI NI KUMILIKI SIFA AMBAYO INA MSAADA KWA KOCHA MKUU KIUFUNDI NA PIS KUWA MUAMINIFU WA MAWAZO NA MAONO YA KOCHA MKUU.
Football world works very different na grapevine news za Tz
Ndio maana watu hawaelewani baina kocha msaidizi na kocha mkuu Tz sababu kuna sumu ipo kuhusu Managerial relationships.
Ndio maana watu hawakuelewa why Giggs alijiengua aliposajiliwa Mourinho
Hawakuelewa Carrick anaondokaje na Ralf Rangnick aliamua kum appoint Darren Fletcher ahead yake
Ni vitu natamani sana kuelimisha watu wa soka la Tz ila wao wanapima umaarufu influence na admiration