GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Hivi AU ina msaada gani kwa nchi za Afrika, zaidi ya "kutapanya" fedha za Afrika?
Ina msaada gani?
Ikivunjwa kuna hasara yo yote?
Ina msaada gani?
Ikivunjwa kuna hasara yo yote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi AU ina msaada gani kwa nchi za Afrika, zaidi ya "kutapanya" fedha za Afrika?
Ina msaada gani?
Ikivunjwa kuna hasara yo yote?
Hebu tueleze Mwalimu! Yapi majukumu ya AU? Inayamudu?Kwani AU ni taasisi ya misaada?
Kijiwe cha kahawa kileHivi AU ina msaada gani kwa nchi za Afrika, zaidi ya "kutapanya" fedha za Afrika?
Ina msaada gani?
Ikivunjwa kuna hasara yo yote?
Dictator's club where no one can darw point his finger to the other..Hivi AU ina msaada gani kwa nchi za Afrika, zaidi ya "kutapanya" fedha za Afrika?
Ina msaada gani?
Ikivunjwa kuna hasara yo yote?
Morsi alipinduliwa Misri, walichukua hatua gani?? God bless America..AU ni bunch la malofa wanaojiita maraisi ambao huwa wanakutana ili kutiana moyo kamba wakipinduliwa nchini kwao wale waliopindua wasitambuliwe na wawekewe vikwazo vya kiuchumi ili warudishwe kama maraisi. Wameshindwa hata kukubaliana kuondoa visa kati ya nchi za Africa, hawana faida hata bomu likipigwa kwenye lile jengo wakati wakiwa na mkutano wakafa wote wala Afrika haitatikisika na vifo vyao! Wanakuwa useless sana wakikutana kama viongozi wa AU
Kuunda Umoja wa Afrika.Hebu tueleze Mwalimu! Yapi majukumu ya AU? Inayamudu?
Umenena vema sana mkuu. Kuvuna pesa wao na watoto wao ndio priority..Walio kwenye mfumo wanatamani kuwe na vikao vya AU kila siku ili wavune pesa.
Ukitoa hiyo hoja yako Public watakupoteza mkuu, kuwa makini.
Paper Tigers. Hawana meno. God bless America..Kijiwe cha kahawa kile
Huo umoja upo? Au nini hasa maana ya umoja?Kuunda Umoja wa Afrika.
Sure mkuu. Wale jamaa ni useless sana tangia niutambue ukweli.Au ipo Kwa ajili ya Marais kuvuna pesa za umma kama posho za vikao wakiambatana na vimada wao.