Kuna nini pale sio kwamba mikataba ya ajabu imewekwa na Sasa muwekezaji anafosi wamaasai watoke na ana ushindi hata mahakamani?
kama Kuna watu Wana vibali vya kuwinda je hawafanyi zaidi ya hapo vipi kuhusu kuharibu hifadhi je hii ndo sababu kubwa?
Kila awamu ina Chaka lake la kutafuta pesa za kuendesha serikali na kuiba,
Kikwete, mkapa, waliiba kwenye madini,gesi,Maghu alikopa Sana, na kuiba kilichobaki kwenye madini, na kupora Mali za watu, samia anauza bandsri, ardhi, mbuga zetu, angslizo, kuuza Mali za umma, hajafanya samia tu, alianza Mkapa, kuuza mashirika, na nyumba za serikali,
Wa bongo ipo hv,
Pesa tunayokusanya, mapato ya serikali, hayatoshi kuendesha nchi, kulipa mishahara, magari, mafuta, miradi ya maendeleo, na kuiba, lazima ama ukope, au uongeze Kodi, tozo,sasa Wa bongo hamtaki kulipa tozo, na, mnapiga kelele Sana, kuwa mama anakopa, sasa mnatqka apate pesa wapi ya kujenga balabala, madarasa, kulipa boom kwa, vijana wenu wa vyuoni? Lazima uuze Mali ya ndani, au watoto walale chumba kimoja, kingine ukipangishe, au fukuza, wananchi baadhi, ardhi Yao ikodishe izalishe zaidi, Bora wa Masai watimuliwe, ili ardhi Yao inufsishe wengi,
Fukuza wananchi milioni 2,nufaisha wananchi milioni 55+