Kwanini baada ya kupata ajira za mkataba UTUMISHI, inakuwa ngumu kupata ajira za kudumu hata baada ya kufanya usahili na kufaulu mara nyingi?

Maz725

New Member
Joined
Nov 1, 2023
Posts
4
Reaction score
1
Kwanini baada ya kupata ajira za mkataba kupitia utumishi wa umma, inakuwa ngumu sana kupata ajira za kudumu hata baada ya kufaulu katika usaili mara nyingi?

Je, kuna sababu za kipekee au mifumo inayozuia mchakato huu wa kuajiriwa kwa njia ya kudumu?
 
Competition ni kubwa ukibahatik ya mkataba,na still unatakiwa upambane ivo ivo kwenye ya kudumu usijisahau
 
Watanganyika!!! Na changamoto zao.chura asikii.





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…