ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 682
- 1,108
Nashangaa Tanzania tulivyo. Hivi karibuni msanii wa mziki Diamond Platnumz ametwaa mataji kama mawili huko Marekani ambayo ni moja ya kuletea umaarufu nchi kimuziki pia kuonesha kuwa anaweza kwa mashabiki wa Muziki. Walikuwemo akina Kiba, darasa, n.k lakini hawakufanikiwa.
Cha ajabu hizi habari hazikutangazwa kivile na baadhi ya vyombo vya habari. Zaidi tuliangalia kwenye mitandao... media chache walitangaza kama minor... nikimaanisha inakuwa habari ya mwisho n.k.
Na Huyu kijana akipataga misukosuko ya kimahusiano watu wanashoboka kila kona ya Dunia. Akiwemo dada yao Mange Kimambi. Ndo zinakua habari kubwa kuliko za ushindi anaoupata. Why apost negatives za msanii na sio postives zake?
Tufikirie kuhusu hili. Tunamuhitaji yule jamaa kimuziki kuliko madhaifu yake kimahusiano. Tukiendekeza utimu wa mpinzani wake anayemtegemea mange kupata promo hatutafika mbali. Nampongeza sana mond.. pamoja na media nyingi kutomsapoti hakati tamaa.
Cha ajabu hizi habari hazikutangazwa kivile na baadhi ya vyombo vya habari. Zaidi tuliangalia kwenye mitandao... media chache walitangaza kama minor... nikimaanisha inakuwa habari ya mwisho n.k.
Na Huyu kijana akipataga misukosuko ya kimahusiano watu wanashoboka kila kona ya Dunia. Akiwemo dada yao Mange Kimambi. Ndo zinakua habari kubwa kuliko za ushindi anaoupata. Why apost negatives za msanii na sio postives zake?
Tufikirie kuhusu hili. Tunamuhitaji yule jamaa kimuziki kuliko madhaifu yake kimahusiano. Tukiendekeza utimu wa mpinzani wake anayemtegemea mange kupata promo hatutafika mbali. Nampongeza sana mond.. pamoja na media nyingi kutomsapoti hakati tamaa.