Kwanini baadhi ya media za Tanzania hawampendi msanii Diamond?

Ukiwa na wivu wa kijinga,hasa pale mwenzako anapotusua unamnyongea ,basi ujue m/mungu hatokufungulia liziki zako,fitina haifai,big up bro diamondi
 
Wanataka aanguke,lakini hivi mnadhani is there anywhere to fall down?? Sijui but anazidi kutusua...ukitaka kam search katika list ya watu alio wa follow dj khaleed na Rick Rossy...
Mase mom..Tatizo la huyu bwana anaonyesha rangi yake ya Ccm ndomaana watu hawampendi...
Jiulize kwanini Ze comedy show ilikufa baada ya kujikita na kampeni za Ccm2015......
Alafu jiulize kwanini Roma mkatoliki anapendwa na jamiii...TZ watu hawakipendi ccm,so mtu akijihusisha na kukipa promo hiko chama lazima na yeye aingizwe kundini,coz watu husema kuwa maisha haya magumu na mondi nae kachangia coz kipindi cha kampeni alisapport Ccmm..watz kununa kwao ni kuonyesha vitendo tu...
Ila dogo anajua,
Mark ma words Mase...asingronyesha u-ccm wake..angepata support kubwa sana hom...
Ila pale alipo hana furaha na tuzo,coz hom hawana habari nae wala nini...na usipokubalika hom bas wewe mafanikio yako ni ya Muda tu......kachagua upande mbaya japo chama Ni mapenzi ya mtu binafsi
 
Ndo maana nilisema uongozi wa JF ulete mfumo mpya wa usajili
 
Pole sana rafiki inaonesha umeumia kupitia jambo hili kwa kiasi kikubwa.
Note:Ukimuongelea Mond plutnumz tafadhali usimuhusishe Ali kiba.
Siku zote uktaka kujenga jambo usilinganishe na kitu kingine.



Ni hayo tu rafiki,ushabiki sio mzur.
 
Wanataka aanguke,lakini hivi mnadhani is there anywhere to fall down?? Sijui but anazidi kutusua...ukitaka kam search katika list ya watu alio wa follow dj khaleed na Rick Rossy...
Sasa jaman mtu ku befollowed ni jambo.la ajabu mpka sasa linaongelewa duuuh.
 
Mi nafaham kapata tuzo moja, hiyo ya pili itakuwa ulimpa wewe
Millardy ayo aliripot alipata tuzo mbili

Best East Africa Male- Diamond plutnumz

Best Artist in Africa -Diamond Plutnumz
*************AFRIMA AWARD************
 
Mukipenda...musipende yeye yake yanamuendea ..hela anaingiza na maisha yanaenda
 
Wanataka aanguke,lakini hivi mnadhani is there anywhere to fall down?? Sijui but anazidi kutusua...ukitaka kam search katika list ya watu alio wa follow dj khaleed na Rick Rossy...
hii mpya nayo kwa iyo hao wawili wakikufollow ndio wazidi kutusua mweeee
 
Vitendo vyake vya Uzinifu hauna fundisho lolote kwa vijana wetu ni bora media ziendelee kum block
Tunachoangalia ni kazi maisha yake binafsi yanatuhusu nini? Mbona kuna wazinzi zaidi yake hawasikiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…