Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?


Upo sawa kabisa.
 
kwa kule dar ni kawaida...nawajua mademu wengi huwa hawavai...ukiwabishia wanakufunulia kweli.....
 
Chupi kama chupi si lazima coz kuna njia nyingi za kuzuia sehemu hizo nyeti zisionekane..sasa kwanini hajafanya hivyo ndo swali!!!!!!!!!!!!!!!!au labda alijisahau kuwa hana protector inside...
 
km Dar Joto huku kwetu baridi lakini mjue hapo haitoi tena harufu za manguo au perfume inbaki ile harufu asilia aliyoumbwa nayo yenye mvuto. mmemuona beberu?
 
Wanawake kutokuvaa chupi nadhani sasa hii ni kawaida yao...

Unajua maadili yanapungua kila siku sasa kama wanakwenda kwenye mapart bila chupi wakishazoea hata maofisini hawavai..

Ila ni aibu sana..
 
Chupi si asili ya mama wa kiafrika! Ni mambo ya udhungu hayo!

Marehemu bibi yangu, aliniambia walikuwa wavaa kitu Kama chupi wakiwa period tu. Ni kitambaa wakishikiza na kamba kiunoni mf. wa G string!

So huyo dada anaenzi mila za kiafrika kama mnavyowaimbia kina dada wafanye!

Umeona ndio, but it is ur problem, not hers; na ndio maana imekusumbua hadi umeleta Uzi hapa!
 
Wanawake kutokuvaa chupi nadhani sasa hii ni kawaida yao...
Unajua maadili yanapungua kila siku sasa kama wanakwenda kwenye mapart bila chupi wakishazoea hata maofisini hawavai..
Ila ni aibu sana..
Who said so? Nani anadefine moral za mtu au kina mama?
 
Aaah jamani si alikuwa anaiacha na yenyewe ipate upepo.Sema tu bahati mbaya alikaa vibaya.Kama asingekaa vibaya wala msingejua.Cooling ni muhimu
 

Good reseached comment! Big up.
 
joto bana... wanamuacha "eva" apate hewa
 
Joto laweza kuwa sababu na wakati mwingine aina ya nguo...kuna nguo ukivaa hata G's haikai kisawasawa.....au uchovu!!
Uchovu? Michelle! hahahaha
Mi nadhani ni watu tu kuamua... Nakumbuka kuna thread ya Nazjaz aliuliza nini kazi ya chupi, there were some funny answers...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…