Inategemea na nguo uliyovaa!ila kwa mchana mh!ucku nguo nyingi za kutokea hazihitaji chupi!sivaagi kbs ucku nikiwa natoka!
Uchovu? Michelle! hahahaha
Mi nadhani ni watu tu kuamua... Nakumbuka kuna thread ya Nazjaz aliuliza nini kazi ya chupi, there were some funny answers...
Acha hiyo tabia maana ipo siku watu watakubaka kiulaini sana.
Lol, RR mi kuna wakati nachoka sitaki kitu cha kunishika mwili wangu including chupi nataka nioge,nikae niangalie movie,nisome kitabu kama nilivyozaliwa....vitu vyenyewe vinabana na kuvaa zile 'mothers day' ni mwiko kwangu....lol
Uchovu? Michelle! hahahaha
Mi nadhani ni watu tu kuamua... Nakumbuka kuna thread ya Nazjaz aliuliza nini kazi ya chupi, there were some funny answers...
ohh my god sasa ukikaa vibaya kidogo 2 utata mtupu,please madivas muwekeni delila wenu ndani ya nyumba yake.
nadhani ni joto la Dar ndio itakuwa sababu...
kiafya nadhani tunatakiwa kupitisha hewa huko...
kuavoid growth of bacteria...
either uvae chupi nyepesi,ama usivae kabisaa..kny sehemu za joto!
Nakwambia! Kidogo nivunje mguu kwa kukimbia kuja kuona umeongea nini huku kaka mkubwa!!Vijana mna mambo nyie . . .
kuna kila dalili za uongo kwa mtoa mada!!huyo dada ni mwembamba kiasi gani?na alikuwa amesambaza miguu kiasi ambacho 1% ya mwili wake ionekane?na umbali kutoka mlangoni mpaka alipokaa ni mita ngapi mpaka uipate hiyo view??!!HAKUNA UKWELI HAPO,UNAAMSHA HISIA ZA MALIJALI TUUU HAPA!!
inawezekana anatumia dawa aina ya clotrimazole vaginal pessaries kwa ajili ya kuangamiza wale trichomonas vaginalis,au candida albicans,au hata treponema pollidum,kwani wadudu hawa huzaliana sana kama maeneo yale huwa na umaji maji,na njia pekee ya kuhakikisha dawa kama hizo au lotion kama nystatine na vidonge vyake pia ni kuhakikisha kunakuwa dry!