Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?

mmmmh, hii kali. kweli nguo zinatusitiri, khaaaa... tumbua hiloooo
 
Habarini waungwana

Katika pita pita zangu nimefanya kautafiti nimegundua wanawake wengi jijini Dar es Salaam hawavai chupi nimejiuliza ni joto?
Nikajijibu hapana Dar joto limepungua sana kwa sasa hivi, sasa nimebaki siwaelewi hawa watu na wale wachache wanaovaa wanavaa zile za vikamba (bikini) nyama zote zinabaki nje, ni kukubuhu ni umalaya ni kuiga au nini?
 
Utafiti umezaa ugunduzi bado tu uchuguzi utakao zaa upekuzi...hapo ndo utabaini ...kufuli hazithaminiki aisee

nimesitaajabu tu huu upembuzi.
 
Mkuu unaweza eleza ulifanya Vipi utafiti wako, wapi na lini. Je sample size ni ya watu wangapi?
 
Mkuu unaweza eleza ulifanya Vipi utafiti wako, wapi na lini. Je sample size ni ya watu wangapi?

Mkuu nililamba wa usiku nikakuta hana
Nikagonga wa mchana naye hajavaa
Nikaingia uswahilini huko ndiko shidaa
Nikagundua uvaaji umepunguwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…