Kwanini baadhi ya watu hawali kitimoto?

Asilimia 70 ya wanaosema hawali kiti moto hula pembeni...
 
Umeshanikumbusha utamu nikitoka job saa 8 break ya 1 ni Kimara Resort kupata nusu kilo swafiiiiiiii
 
Ndio. Ukipata mtayarishaji mzuri inazidi kabisa. Upate rosti hapo au iliyokaangwa na mtaalam. Aaaah, alafu unakula ktk pub fulani hivi na ndizi kaangwa pembeni barmaids wazuri wanapitapita! Dunia nzuri sana
Sijawah onja kitimoto ila haiwezi fikia
Kuku ,samaki,mayai,maziwa
 
Dini imetuharibia bara letu la Afrika, waliowambia kuwa mdudu ni haramu wao wanamla na anawaingizia pesa ndefu!
 
Kiukweli hivyo vyakula vyote vinasubiri kwa kitimoto, labda kama hujawahi kuila hiyo kitu.. weka mbali na watoto hiyo nyama aisee+ kimea ndio kbsaa
Ngoja nimalize kazi za watu nikajilipue na huyu mdudu hapo Micasa[emoji39][emoji39]
 
Ngoja nimalize kazi za watu nikajilipue na huyu mdudu hapo Micasa[emoji39][emoji39]

Mimi mda huu nimetoka kuchukua kilo 3 buchani nataka niiandae mwenyewe ndio hua nainjoi zaidi. Mchana naipiga na ugali mkubwa sana inayobaki jioni inapigwa na ndizi rosti..πŸ˜‹πŸ˜‹ Bila kusahau coke baridi na altar wine
 
Mimi mda huu nimetoka kuchukua kilo 3 buchani nataka niiandae mwenyewe ndio hua nainjoi zaidi. Mchana naipiga na ugali mkubwa sana inayobaki jioni inapigwa na ndizi rosti..[emoji39][emoji39] Bila kusahau coke baridi na altar wine
Mkuu acha kunitamanisha basi ukizingatia haya makazi mpaka niyamalize ni saa kumi na moja[emoji19][emoji19]

Na hii njaa nimeihifadhi kimakusudi kabisa
 
Mkuu acha kunitamanisha basi ukizingatia haya makazi mpaka niyamalize ni saa kumi na moja[emoji19][emoji19]

Na hii nimeihifadhi kimakusudi

Hahaaa... usijali mkuu ntakutumia na picha ili nikufuruge kabisa akili lako πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Jamaaa umetuzungushaa kumbe nyama ziko chini kama mtori
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…