Kwanini baadhi ya watu hawali kitimoto?

Ungeuliza kwa nini wengine hawali panya?(ukiwemo na wewe,mwenyewe),wakati wapo watu wanakula panya.
 
Wako watu wanakula,panya,nyoka,chura,mbwa,paka,majongoo,mafunza,mizoga iliyooza,nk.Wewe unakula hivyo?
 
Story za kutunga kutoka kwenye Quran
Hakuna story hiyo kwenye Qur'an ya mfalme.Wapo watu hawali panya,na wako wanaokula.Kuna watu hawali nyoka,na wapo wanaokula.Wapo wahali mende,na wapo wanaokula.Wapo wasiokula nyoka,jongoo,na wapo wanaokula,hao mbona hatuletei story zake,ilikuwaje wasile hizo nyama.
 
Nakula sasa hivi utanitapisha[emoji36][emoji36]
Ndio ujuwe mleta mada, hana maarifa,sio nguruwe tu,wapo wanaokula na wapo wasiokula,hata Yesu,hakuna maandiko yalionyesha alikula nguruwe.Ikiwa mwenzako Hali kitu fulani,usiwe unaleta kashifa,wapo watu wanakula mpaka nyama za binadamu,lakini wapo ambao hawali.Lakini wanaokula nyama hizo,hawaleti story za kutunga,dhidi ya wasiokula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…