kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,273
- 1,703
Usiwabishie waliotafuna vyote na hatimaye kuja na mrejesho.Sijawah onja kitimoto ila haiwezi fikia
Kuku ,samaki,mayai,maziwa
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] hebu mweleweshe maana mi nimeshindwa, hata kuonja hajawahi sasa anatofautisha vepee?Usiwabishie waliotafuna vyote na hatimaye kuja na mrejesho.
Yaani samaki na maziwa zifikie utamu wa kitimoto? Lol! U ain't be serious.
Wewe unaendeleaje huko kwenye ubilionea.Kijana wacha ujinga, jiulize tu.....huyo Mungu alikushukia lini na kukukataza wewe kula nguruwe? Usipende kusikiliza hadithi zilizotungwa na watu kwenye vitabu kutishia wenzao, kama Mungu hataki wewe ule nguruwe, believe me atakushukia wewe na kukuonya ila HAWEZI kumshukia mzungu au mwarab na kuwaambia nenda kamuonye baby zu asile nguruwe. Tumia akili zako, dini ni usanii tu, zimewekwa kwa ajili ya kutawala binadamu na ndiyo maana unaona waumini wengi ni masikini na wajinga.
Hapana, sijapata hiyo offer ila nikipewa nitakula. Kwani watu wanakufa kula hivyo viumbe, si ni chakula kama kisamvu au kuku tu?Wako watu wanakula,panya,nyoka,chura,mbwa,paka,majongoo,mafunza,mizoga iliyooza,nk.Wewe unakula hivyo?
Poa tu, vipi ulitakaje?
Unavyokula vyote,unasubiri offer?Hapana, sijapata hiyo offer ila nikipewa nitakula. Kwani watu wanakufa kula hivyo viumbe, si ni chakula kama kisamvu au kuku tu?
Hapana, only this delicacy kwani sijuwi namna ya kutengeneza/kupikaUnavyokula vyote,unasubiri offer?