Kwanini Balimi ni nafuu hivi?

Mtetezi.com

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
3,134
Reaction score
3,584
Leo baada ya mihangaiko nikataka kupooza kichwa na koo nilipozoea kupata vyupa leo nimekuta bia zimeisha ila imebaki aina moja tu balimi kuuliza bei naambiwa chupa kubwwa buku jero nikajishauri kinyama kuwa iweje iwe bei chee namna hii muuzaji kaniambia ipo poa hata yeye anatumia nikasema ngoja nijaribu but inaonekana ipo poa tu ila mimi niko psycologicaly affected with misconception of price and quality yani naamini the higher price the higher quality.

Ila vibes yake nimeimind kinyamaa hata ninavyoongea ndio inanipa mzuka ebwana wajuz nijuzeni kwann iuzwe bei chee namna hiyo na wakati kili na safari zote chali....
 
Vijana wa mtaani kwetu wakinywa balimi wanavimbaa...msieeew zao
 
Iyo balim naikubali..piga tatu au zaid,,then usiku igea mzigon js 4gt ur prob of premature ejagulation..iyo ndio dawa yenywwe
 
balimi ndogo ndio bia yangu ya ukweli... kubwa zimenishinda.. ila ndogo za ukweli sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…