Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi awamu awamu mbili hiziii,🙌🙌🙌
Nchi ikiendeshwa na viongozi waongo huwa bei hazishuki.Kuna kitu hakiko sawa hapa, inabidi kitu kifanyike, serikali isipoingilia kati uchumi utaharibika
Ni trent hapa tanzania kitu kikipanda bei ni shida sana kushuka bei, kwann