Zamani bei za bidhaa zote zilizopangwa na Serikali zilikuwa zinafanana nchi nzima. Mtu aliyepo Kilombero alinunua sukari kwa bei ile ile na mtu aliyepo Tandahimba, bei ya petroli Dar ilikuwa sawa na Kigoma.
Sasa wasomi wetu wamepatwa na nini kutofautisha bei ndani ya nchi moja? Kwamba sisi watu wa Rukwa tugharimie zaidi kununua dizeli kuliko watu wa Dar?
Kwanini kusiwe na standardization ya bei? Kwamba kuishi mbali na Dar ni dhambi?
EWURA embu fikirieni kwa makini jambo hili! Kumbukeni Tanzania ni nchi moja wananchi wote wanapaswa kufaidi au kuumia kwa usawa!
Sasa wasomi wetu wamepatwa na nini kutofautisha bei ndani ya nchi moja? Kwamba sisi watu wa Rukwa tugharimie zaidi kununua dizeli kuliko watu wa Dar?
Kwanini kusiwe na standardization ya bei? Kwamba kuishi mbali na Dar ni dhambi?
EWURA embu fikirieni kwa makini jambo hili! Kumbukeni Tanzania ni nchi moja wananchi wote wanapaswa kufaidi au kuumia kwa usawa!