Exactly poor brain!Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha
Zamani bei zilikuwa zinafanana nchi nzima, usafirishaji haukuwepo? Sasa hivi bei ya bia ni sawa nchi nzima hakuna usafirishaji?Nadhani ni gharama za usafirishaji,kama mafuta yanashuka DSM,bei haiwezi kuwa sawa na Katavi
Zambia waliwezaHilo haliwezekani
Kwa nini haliwezekani?Hilo haliwezekani
Bia. Soda zinatengeneza kwa zones ili kuweza kukabiliana na hiloZamani bei zilikuwa zinafanana nchi nzima, usafirishaji haukuwepo? Sasa hivi bei ya bia ni sawa nchi nzima hakuna usafirishaji?
Bia kutoka Dar kwenda Dodoma mbona bei sawaBia. Soda zinatengeneza kwa zones ili kuweza kukabiliana na hilo
Si yule shombe shombe?Kuna jamaa nilimuaona amejipenyeza kwenye ziara ya mama kule Qatar, pamoja na kwamba amekua akituhumiwa kwa mambo mbalimbali ya uhujumu na ufisadi mkubwa
Zamani ni nn kilikuwa kinafanyika na saizi ni nini hakifanyiki mkuuZamani bei zilikuwa zinafanana nchi nzima, usafirishaji haukuwepo? Sasa hivi bei ya bia ni sawa nchi nzima hakuna usafirishaji?
Zamani kulikuwa na Tume ya bei ambayo ilikuwa ina - standardize bei ya bidhaa zote, kwa maana kuwa gharama za usafirishaji zilikuwa zinabebwa na wananchi wote. Biashara huria ilipoanza Tume ya bei ikavunjwa na ndipo maumivu kwa mikoa ya pembezoni ilipoanza!Zamani ni nn kilikuwa kinafanyika na saizi ni nini hakifanyiki mkuu
Je bei ya Bia si moja ya Dar na katavi,hizi bia hazisafirishwi?Nadhani ni gharama za usafirishaji,kama mafuta yanashuka DSM,bei haiwezi kuwa sawa na Katavi
Bia ina evapolution kama mafuta ?Je bei ya Bia si moja ya Dar na katavi,hizi bia hazisafirishwi?
Evapolution ndiyo nini?Bia ina evapolution kama mafuta ?