NI HIVI JE ITAKUBALIKA MUUZAJI na msambazaji wa mafuta awe mmmoja tz nzima bei inaweza kupangwa moja kama ya bia..muuzaji anasafirisha mpaka kituoni kwako kwa bei kadhaa anakuachia faida bei kadhaa unauza bei aliyopanga inchi nzima..kama jambo azam na bia.. sasa mafuta yanauzwa dsm kila mfanyabiashara mwenye kibali anabeba na kwenda kuuza anapojua gharama za usafirishaji zimepangwa kwa kila lita kila eneo...muuzaji ana top up kwenye bei...na ikitokea yakauzwa bei moja inchi nzima kuna mahala watafidia bei ya usafiri ya kigoma na kwingineko...Je bei ya Bia si moja ya Dar na katavi,hizi bia hazisafirishwi?
Serikali inafahamu bei ya kusafirisha lita moja ya mafuta kila pembe ya nchi. Pia serikali inafahamu kiwango cha matumizi ya mafuta kwa kila eneo la nchi kwa mwezi. Kwa hiyo serikali inafahamu bei ya kusafirisha mafuta kwa kila eneo la nchi.NI HIVI JE ITAKUBALIKA MUUZAJI na msambazaji wa mafuta awe mmmoja tz nzima bei inaweza kupangwa moja kama ya bia..muuzaji anasafirisha mpaka kituoni kwako kwa bei kadhaa anakuachia faida bei kadhaa unauza bei aliyopanga inchi nzima..kama jambo azam na bia.. sasa mafuta yanauzwa dsm kila mfanyabiashara mwenye kibali anabeba na kwenda kuuza anapojua gharama za usafirishaji zimepangwa kwa kila lita kila eneo...muuzaji ana top up kwenye bei...na ikitokea yakauzwa bei moja inchi nzima kuna mahala watafidia bei ya usafiri ya kigoma na kwingineko...
EWURA kuna kitu wanapata kutokana na hili kwani hakuna kisingizio cha kutokuwa na pan-territorial price!Serikali inafahamu bei ya kusafirisha lita moja ya mafuta kila pembe ya nchi. Pia serikali inafahamu kiwango cha matumizi ya mafuta kwa kila eneo la nchi kwa mwezi. Kwa hiyo serikali inafahamu bei ya kusafirisha mafuta kwa kila eneo la nchi.
Kwa kuwa gharama za usafirishaji inafahamika kwa nchi nzima kwa mwezi kinachotakiwa kufanyika ni kuiweka katika gharama ya mafuta ya mwezi husika na kuigawa kwa lita zote za mafuta ya mwezi huo na ku-standardize bei kwa nchi nzima.
Jambo hili si geni na limefanyika katika utawala wa Nyerere na Mwinyi!
Soko huria kwa bidhaa za viwandani sawa lakini si kwa mafuta ambayo yananunuliwa kutoka chanzo kimoja na kuuzwa nchi mzima kwa ajili ya matumizi yanayofanana!Wanaita soko huria mkuu
Ukitaka ufanye bei iwe moja nchi nzima, itabidi bei ya Dar ipande, na itakuwa na faida kubwa, wafanyabiashara either watashusha kwa ajiili ya ushindani au watu hawatapeleka mafuta vijijin kwa sababu kutakuwa hakuna faida kama mjini hapaZamani kulikuwa na Tume ya bei ambayo ilikuwa ina - standardize bei ya bidhaa zote, kwa maana kuwa gharama za usafirishaji zilikuwa zinabebwa na wananchi wote. Biashara huria ilipoanza Tume ya bei ikavunjwa na ndipo maumivu kwa mikoa ya pembezoni ilipoanza!
EWURA wanapaswa kukokotoa bei ya usafirishaji wa mafuta nchi nzima na kuisambaza katika mafuta yote yanayonunuliwa mwezi huo!
Jinsi unavo zidi kuwa mbali na Dsm ndo jinsi utakavo ona motoZamani bei za bidhaa zote zilizopangwa na Serikali zilikuwa zinafanana nchi nzima. Mtu aliyepo Kilombero alinunua sukari kwa bei ile ile na mtu aliyepo Tandahimba, bei ya petroli Dar ilikuwa sawa na Kigoma.
Sasa wasomi wetu wamepatwa na nini kutofautisha bei ndani ya nchi moja? Kwamba sisi watu wa Rukwa tugharimie zaidi kununua dizeli kuliko watu wa Dar?
Kwanini kusiwe na standardization ya bei? Kwamba kuishi mbali na Dar ni dhambi?
EWURA embu fikirieni kwa makini jambo hili! Kumbukeni Tanzania ni nchi moja wananchi wote wanapaswa kufaidi au kuumia kwa usawa!
Hii ina maana wananchi wa Dar walikuwa wanawafidia wananchi wa mbali, bei ya mafuta Dar ilikuwa kubwa kuliko ilivyotakiwa. Ukifanya hivyo zama hizi nafikiri mafuta yote yatabaki Dar , wauzaji watapata faida kubwa Dar kuliko kupeleka Kigoma au Tunduma. Nyakati zile za Ujamaa - hakuna hasara,ndio maana mashirika mengi yalishindwa kujiendesha.Zamani bei zilikuwa zinafanana nchi nzima, usafirishaji haukuwepo? Sasa hivi bei ya bia ni sawa nchi nzima hakuna usafirishaji?
Kwani bia, sabuni, sukari vinasafirishwaje?Haiwezekani, gharama za usafirishaji hazifanani...
Zamani bei ilikuwa moja na petro-stations zilikuwa zinajengwa! Kwa hoja yako una maana hakutakuwa na vituo vya mafuta mikoani kitu ambacho si kweli!Ukitaka ufanye bei iwe moja nchi nzima, itabidi bei ya Dar ipande, na itakuwa na faida kubwa, wafanyabiashara either watashusha kwa ajiili ya ushindani au watu hawatapeleka mafuta vijijin kwa sababu kutakuwa hakuna faida kama mjini hapa