Naombeni kuuliza,
Kuna ndugu yangu kaja kuniambia katembelea benki za NMB,KBC, BOA,POSTA wote wanadai wameteminate kutoa mikopo kwa wafanyakazi wa wizara ya kilimo na chakula eti kisa wizara haipeleki makato.
Je, hii imekaaje ukweli wake? Je ni benki gani ambayo bado wanawahudumia wafanyakazi wa hii wizara