Kwanini Benki ya Tanzania comecial bank (TCB) mpaka sasa hawajatoa mshahara wa mwezi Agosti?

Kwanini Benki ya Tanzania comecial bank (TCB) mpaka sasa hawajatoa mshahara wa mwezi Agosti?

ARMs14

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2014
Posts
316
Reaction score
233
Habari wakuu?
Ndugu zangu mpaka sasa hivi benki hii ya Tanzania comecial bank zamani ikiitwa benki ya posta hawajatoa mshahara kwa wafanyakazi ambao wanapitisha mishahara yao katiak benki hii. Sijui tatizo liko wapi? Maana benki zote watu wanaopitishia mishahara yao washawekewa mshahara wa mwezi Agosti wao hawa TCB bado au wanataka watumishi wahame?
 
Habari wakuu?
Ndugu zangu mpaka sasa hivi benki hii ya Tanzania comecial bank zamani ikiitwa benki ya posta hawajatoa mshahara kwa wafanyakazi ambao wanapitisha mishahara yao katiak benki hii. Sijui tatizo liko wapi? Maana benki zote watu wanaopitishia mishahara yao washawekewa mshahara wa mwezi Agosti wao hawa TCB bado au wanataka watumishi wahame?
Kiongozi pole Sana kumbe Hawa watu wanakutesa Sana aiseee. Wahame tu !!!
 
Back
Top Bottom