Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,503
Hakuna data zinazokubarika kimataifa za kiwango cha uzalishaji wa madawa ya kulevya siyo kwa Tanzania tu bali duniani kote. Kitu kinachojulikana ni mtikisiko na madhara yake yanayoonekana na huku wengine wakihuswa moja kwa moja kwa njia moja au njingine.
Katika pekua pekua yangu kwenye makabrasha na majarida mbali mbali nimepatwa na butwaa baada ya kugundua kuwa uzalishaji na usambazaji wa haya madawa unafanyika sana kwenye nchi ambazo wananchi wake na serikali zao zinajinasibisha kama ni wacha Mungu katika imani ya kikristo na kiislamu, kwa lugha nyingine, wanamwogopa sana Mungu katika maisha yao (conservative).
Katika pekua pekua hiyo, nikagundua kuwa watumiaji wengi wa madawa haya ya kulevya ni jamii ambayo iko kwenye nchi ambazo zinajinasibisha sana kama siyo wacha Mungu au kwa jina jingine ni dormant believer (liberal).
Kama tunavyofahamu mazao ya poppy, coca na cannabis ndiyo huzalisha opium, heroin, cocaine na hashish ambapo mashamba makubwa ya mazao hayo yanapatikana katika nchi Afghanistan, Colombia, Peru, Burma, Mexico, Bolivia, Pakistan, Iran na Morocco na usagirishaji wake ukipitia kwenye nchi za West Africa ambazo ni Guinea, Guinea-Bissau, Liberia, Nigeria, Ghana na Senegal huku watumiaji wakubwa wakiwa ni kwenye nchi za ulaya na Marekani.
Ukiangalia katika majarida na makabrasha utaona kuwa hizi nchi zinazojihusisha sana na biashara hii asilimia kubwa ya wananchi wake ni wa dini za kikristo na Kiislamu. Kama jedwari linavyoonyesha hapa chini,
Afghanistan===> Islam (Sunni 80%, Shiite 19%), other 1%
Colombia====> Roman Catholic 90%
Bolivia======> Roman Catholic 95%, Protestant (Evangelical Methodist) 5%
Peru=======> Roman Catholic 81%, Seventh-Day Adventist 1%, other Christian 1%, unspecified or none 16%.
Mexico=====> nominally Roman Catholic 89%, Protestant 6%, other 5%
Pakistan====> Islam 97% (Sunni 77%, Shiite 20%); Christian, Hindu, and other 3%
Iran=======> Islam 98% (Shi'a 89%, Sunni 9%); Zoroastrian, Jewish, Christian, and Baha'i 2%
Morocco=====> Islam 99%, Christian 1%
Argentina====> Roman Catholic 92%, Protestant 2%, Jewish 2%, other 4%
Hata ukiangalia nchi ambazo biashara hii chafu hupitia nazo zinaangukia kwenye kundi lile lile la nchi ambazo zina wakristo wengi wa madhehebu ya Roman Catholic au Waislam na hasa Sunni.
Guinea=====> Islam 85%, Christian 8%, indigenous 7%
Liberia=====> traditional 40%, Christian 40%, Islam 20%
Nigeria=====> Islam 50%, Christian 40%, indigenous beliefs 10%
Ghana=====> Christian 63%, indigenous beliefs 21%, Islam 16%
Senegal====> Islam 94%, Christian 5% (mostly Roman Catholic), indigenous 1%
Ukiangalia kwenye trends ya Tanzania kwa sasa, kadri makanisa na misikiti inavyoongeza kila siku kwa sasa na pia biashara hii chafu nayo inaongezeka kwa kasi nchini.
Tanzania====> mainland: Christian 30%, Islam 35%, indigenous 35%; Zanzibar: more than 99% Islam
Ninashindwa kuelewa kama hii biashara inahusisha imani ya dini au chanzo chake kiko ndani ya religious value kwa sababu haiwezekani kukawa ni coincedence kuwa na nchi ambazo wananchi wake wengi ni "wacha Mungu" wa dini za kikristo au kiislamu wakati huo wakati ni vinara wa biashara hii ambayo katika macho ya mafundisho ya dini zao ni dhambi.
Kwa nini dhambi hii ya kuzalisha madawa inawapenda sana Wakiristo na Waislamu na huku utumiaji mkubwa unakuwa kwa jamii ambayo inalijua tu jina la Mungu lakini haifuati mafundisho yake.
Kama tatizo ni ukosefu wa serikali madhubuti, kwa nini kwenye jamii yenye kumuogopa Mungu ambayo imeambiwa katika vitabu na misahafu kuzitii mamlaka duniani zinashindwa kuwa na mamlaka ya kiserikali imara!.
Why only in active Christian and active Islam countries?. Kuna kitu gani hapa!!!!!
Hizi data zinapatikana hapa, World Religions | Infoplease.com
Ramani kuonyesha trends and route za biashara hii chafu ambayo ni "Immoral" kwenye macho ya Mungu wao wa kila siku.
NB:
Hili ni jukwaa la kuelimishana na kupashana habari na siyo jukwaa la kurumbana kuhusu dini.
Ningependa wana JF wenye michango inayojenga badala ya kubomoa na wale wasio na mlengo wa kidini dini ndiyo wakijike kwenye kuboresha akili yangu naya member wengine wanaopenda kufahamu kilichoko nyuma ya pazia hili.
Hii ni topic inayojikita kwenye maisha ya kijamii. Thanks
Katika pekua pekua yangu kwenye makabrasha na majarida mbali mbali nimepatwa na butwaa baada ya kugundua kuwa uzalishaji na usambazaji wa haya madawa unafanyika sana kwenye nchi ambazo wananchi wake na serikali zao zinajinasibisha kama ni wacha Mungu katika imani ya kikristo na kiislamu, kwa lugha nyingine, wanamwogopa sana Mungu katika maisha yao (conservative).
Katika pekua pekua hiyo, nikagundua kuwa watumiaji wengi wa madawa haya ya kulevya ni jamii ambayo iko kwenye nchi ambazo zinajinasibisha sana kama siyo wacha Mungu au kwa jina jingine ni dormant believer (liberal).
Kama tunavyofahamu mazao ya poppy, coca na cannabis ndiyo huzalisha opium, heroin, cocaine na hashish ambapo mashamba makubwa ya mazao hayo yanapatikana katika nchi Afghanistan, Colombia, Peru, Burma, Mexico, Bolivia, Pakistan, Iran na Morocco na usagirishaji wake ukipitia kwenye nchi za West Africa ambazo ni Guinea, Guinea-Bissau, Liberia, Nigeria, Ghana na Senegal huku watumiaji wakubwa wakiwa ni kwenye nchi za ulaya na Marekani.
Ukiangalia katika majarida na makabrasha utaona kuwa hizi nchi zinazojihusisha sana na biashara hii asilimia kubwa ya wananchi wake ni wa dini za kikristo na Kiislamu. Kama jedwari linavyoonyesha hapa chini,
Afghanistan===> Islam (Sunni 80%, Shiite 19%), other 1%
Colombia====> Roman Catholic 90%
Bolivia======> Roman Catholic 95%, Protestant (Evangelical Methodist) 5%
Peru=======> Roman Catholic 81%, Seventh-Day Adventist 1%, other Christian 1%, unspecified or none 16%.
Mexico=====> nominally Roman Catholic 89%, Protestant 6%, other 5%
Pakistan====> Islam 97% (Sunni 77%, Shiite 20%); Christian, Hindu, and other 3%
Iran=======> Islam 98% (Shi'a 89%, Sunni 9%); Zoroastrian, Jewish, Christian, and Baha'i 2%
Morocco=====> Islam 99%, Christian 1%
Argentina====> Roman Catholic 92%, Protestant 2%, Jewish 2%, other 4%
Hata ukiangalia nchi ambazo biashara hii chafu hupitia nazo zinaangukia kwenye kundi lile lile la nchi ambazo zina wakristo wengi wa madhehebu ya Roman Catholic au Waislam na hasa Sunni.
Guinea=====> Islam 85%, Christian 8%, indigenous 7%
Liberia=====> traditional 40%, Christian 40%, Islam 20%
Nigeria=====> Islam 50%, Christian 40%, indigenous beliefs 10%
Ghana=====> Christian 63%, indigenous beliefs 21%, Islam 16%
Senegal====> Islam 94%, Christian 5% (mostly Roman Catholic), indigenous 1%
Ukiangalia kwenye trends ya Tanzania kwa sasa, kadri makanisa na misikiti inavyoongeza kila siku kwa sasa na pia biashara hii chafu nayo inaongezeka kwa kasi nchini.
Tanzania====> mainland: Christian 30%, Islam 35%, indigenous 35%; Zanzibar: more than 99% Islam
Ninashindwa kuelewa kama hii biashara inahusisha imani ya dini au chanzo chake kiko ndani ya religious value kwa sababu haiwezekani kukawa ni coincedence kuwa na nchi ambazo wananchi wake wengi ni "wacha Mungu" wa dini za kikristo au kiislamu wakati huo wakati ni vinara wa biashara hii ambayo katika macho ya mafundisho ya dini zao ni dhambi.
Kwa nini dhambi hii ya kuzalisha madawa inawapenda sana Wakiristo na Waislamu na huku utumiaji mkubwa unakuwa kwa jamii ambayo inalijua tu jina la Mungu lakini haifuati mafundisho yake.
Kama tatizo ni ukosefu wa serikali madhubuti, kwa nini kwenye jamii yenye kumuogopa Mungu ambayo imeambiwa katika vitabu na misahafu kuzitii mamlaka duniani zinashindwa kuwa na mamlaka ya kiserikali imara!.
Why only in active Christian and active Islam countries?. Kuna kitu gani hapa!!!!!
Hizi data zinapatikana hapa, World Religions | Infoplease.com
Ramani kuonyesha trends and route za biashara hii chafu ambayo ni "Immoral" kwenye macho ya Mungu wao wa kila siku.
NB:
Hili ni jukwaa la kuelimishana na kupashana habari na siyo jukwaa la kurumbana kuhusu dini.
Ningependa wana JF wenye michango inayojenga badala ya kubomoa na wale wasio na mlengo wa kidini dini ndiyo wakijike kwenye kuboresha akili yangu naya member wengine wanaopenda kufahamu kilichoko nyuma ya pazia hili.
Hii ni topic inayojikita kwenye maisha ya kijamii. Thanks