Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Hapo ndipo wanapofail,wanafikiri majina yao ndio yatabeba bidhaa zao sokoni,waajiri watu pro wauze bidhaa zao.
Wanao comment wenyewe maisha ya mlala hoi Hawana shughuli yoyote tu maisha yetu hayoSabuni za nandy niliwahi ona tangazo!
Sema tatizo wabongo hawana ushabiki ule wa kununua bidhaa za msanii wao!
Sapoti kubwa ni kucomment tu kwenye page yako ya Instagram na kuangalia video YouTube!
Ni kweli! Ila angalia Wasafi.com ilivyoanza kwa mbwembwe leo iko wapi? Na wimbo mmoja ilikua 200 tu ila ilishindikana!Wanao comment wenyewe maisha ya mlala hoi Hawana shughuli yoyote tu maisha yetu hayo
Unaleta sabuni kipande 3000 Wakati huo huo sabuni ya Jamaa kipande 500 tunatumia familia nzima
Ana download mmoja tunatumiana whatsappNi kweli! Ila angalia Wasafi.com ilivyoanza kwa mbwembwe leo iko wapi? Na wimbo mmoja ilikua 200 tu ila ilishindikana!
πππππππππππAna download mmoja tunatumiana whatsapp
Waangalie namna ya kutukamata walala hoi
Haji manara anakuja perfume Bei ya mwisho 25000 Kisa ana followers 1M
Wakati hao Watu wanam follow 500k hata mafuta ya kupaka Hana mwingine anafuata tu kuona mizaha yake dhidi ya yanga
ni ngumu sana,atleast diamond kwa upande flan ana win sababu ya kutochanganya usanii wake na biashara,ila kwingine km pafyum amefeli sanaWana amini wakisha tumia instagram na media ndio biashara inatembea na unaaanza kula faida..watembee field kujionea , sa unakuta msanii yeye huyo huyo anataka awe director ,market man anger,mtu wa finance
Ebana eeeh ππππAna download mmoja tunatumiana whatsapp
Waangalie namna ya kutukamata walala hoi
Haji manara anakuja perfume Bei ya mwisho 25000 Kisa ana followers 1M
Wakati hao Watu wanam follow 500k hata mafuta ya kupaka Hana mwingine anafuata tu kuona mizaha yake dhidi ya yanga
huyu nae na miguu yake kama banio la ugali kachezea shilingi chooni,malaya wametafuna ile m500 sasa hivi amebaki kuwaponda wenzake IG tuIdriss sultan na viatu vyake
ni ngumu sana,atleast diamond kwa upande flan ana win sababu ya kutochanganya usanii wake na biashara,ila kwingine km pafyum amefeli sana
Shishi food is doing fineHivi inakuaje mastaa wa bongo wanapojaribu kufungua biashara huwa hazidumu?
1. Wema alikuja na lipshine,zikabuma
2.Jaydee na ile kitu yake Nyumbani lounge,imeshapotea,
3.Chibu pafyumu &Diamond Karanga hazipo tena,
3.Jokate na bidhaa zake jiii,
4.Mofaya hii ndio ilishafeli kabla hata ya kuingia sokoni,
5.Body spray ya Mwana FA zilianza kwa mbwembwe sasa hivi zinakufa kibudu,
5.pafyumu ya Manara imbakia kwenye picha tu...
6.Vee Money na viatu vyake vya watoto havijulikani hata vilipo
7...........
8...........
9...........
10.........