Tajiri wa matajiri
Senior Member
- Apr 17, 2024
- 166
- 649
Yaani kwa bidhaa nyingi sana naziona zimeandikwa halal kwa lugha ya kiarabu na huku umechorwa msikiti kwa maana kwamba nchi hii ni ya kidini na ya kiarabu au nchi hii imeuzwa kwa waarabu mbona hata sielewi au nyingi wenzangu hamjawahi kukutana nazo?
Ila bidhaa za nguruwe sijawahi kuona kabisa naona nyama yao zile za viwandani hazijaandika kwamba sio halali na sijui kwanini tutaendelea kula kitu ambacho hata nchi haijadhibitisha kwamba sio halali na ni kweli nguruwe sio halali we endelea kula upate minyoo aina ya Ascaris lumbicodiea alisikika mlevi fulani
Ila bidhaa za nguruwe sijawahi kuona kabisa naona nyama yao zile za viwandani hazijaandika kwamba sio halali na sijui kwanini tutaendelea kula kitu ambacho hata nchi haijadhibitisha kwamba sio halali na ni kweli nguruwe sio halali we endelea kula upate minyoo aina ya Ascaris lumbicodiea alisikika mlevi fulani