Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Freemason ndo wakulaumiwaNa vp upande wa soda ,coca-cola inasadikika kuwa na effects baada ya mda mrefu ,lakini bado inakubalika kulinganisha na bidhaa za ndani ,tatizo lipo wap?
Kitu au jambo gani Tz tunalifanya kwa ufanisi?Ningependa kupata Maoni kuhusu hili ..!!
Sasa unataka ufananishe Coca-Cola na Mo Cola au Azam cola??Na vp upande wa soda ,coca-cola inasadikika kuwa na effects baada ya mda mrefu ,lakini bado inakubalika kulinganisha na bidhaa za ndani ,tatizo lipo wap?
Kuna mambo yetu tunatakiwa kuyaamini ,mfano kwenye suala la bunifu za kisayansi ,ambapo wabunifu wengi hawaaminiki Tanzania lakini wanaaminika nje na kupata uwekezaji mkubwa kutoka makampuni ya nje ...vp kuhusu hili unaonaje?Tanzania hatuwezi kuaminika maana hata mawaziri ma Prof kabisa tunaona wanatanya madudu.
Prof kalamaganda alikwenda kuchukua dawa ya covid kutoka kwa mjinga Fulani na ndege ya Kodi zetu.
Kuna huyu Prof. Mwingine anaeaini mikataba huku amefunga macho. Hao Ni ma Prof. Sijataja wabunge .......
Je MTU wa kawaida utamuamini?
Kitu au jambo gani Tz tunalifanya kwa ufanisi?
Jeans Za levis Na Wrangler zinatengenezwa Tanzania na zinaaminika Duniani kote.Ningependa kupata Maoni kuhusu hili ..!!
Tanga kuna Anjari (Healtho) test yake ni Unique na huipati popote, Tetesi za vijiweni ni kwamba Cocacola walimu approach kununua akachomoa mzee.Sasa unataka ufananishe Coca-Cola na Mo Cola au Azam cola??
Haya madude wanatengeneza kama pombe za kichaga??
Hii ni kweli kabisa ,lakini Kuna watu wanaamini kununua vitu vya bei kubwa na kutokuamini vya nchini kisa vimetengenezwa Tanzania ...hili bado ni tatizo piaJeans Za levis Na Wrangler zinatengenezwa Tanzania na zinaaminika Duniani kote.
Pengine ni uwezo tu Wa Watanzania kiuchumi ni mdogo hivyo kupelekea watu kutengeneza bidhaa zenye Quality ndogo kuendana na soko.
Umaskini wetu tu ,Kuna kampuni Africa zinaanza kama start-ups za kawaida lakini still zimeweza kuwa kubwa ...wazungu wakikuona una kitu wanakupa Hela na wanakutumia kwa faida yao tuTanga kuna Anjari (Healtho) test yake ni Unique na huipati popote, Tetesi za vijiweni ni kwamba Cocacola walimu approach kununua akachomoa mzee.
Vipo pia vitu vya Nje bei rahisi na Vya Tanzania bei kubwa na watu wananunua Vya Tanzania bei ikiwa kubwaHii ni kweli kabisa ,lakini Kuna watu wanaamini kununua vitu vya bei kubwa na kutokuamini vya nchini kisa vimetengenezwa Tanzania ...hili bado ni tatizo pia
Unaweza ukakuta ako na bidhaa safi na poor distributionTanga kuna Anjari (Healtho) test yake ni Unique na huipati popote, Tetesi za vijiweni ni kwamba Cocacola walimu approach kununua akachomoa mzee.
Wanafanyaje!!?Freemason ndo wakulaumiwa
Huwezi linanisha Coca Cola, Pepsico na bottlers wa TanzaniaNi yaleyale issue ni brand ...coca cola ni kampuni kubwa tayari ndo maana
Kumbuka zile zinatengenezwa kwa viwango vya kuuzwa nje ya Tz na sio kwa kuuzwa na ndo maana bei yake huzidi 150,000 kwa jeans 1Jeans Za levis Na Wrangler zinatengenezwa Tanzania na zinaaminika Duniani kote.
Pengine ni uwezo tu Wa Watanzania kiuchumi ni mdogo hivyo kupelekea watu kutengeneza bidhaa zenye Quality ndogo kuendana na soko.
Hana Capacity, kiwanda kilijengwa tu Nyumbani,Unaweza ukakuta ako na bidhaa safi na poor distribution