sio waliokufa tu bali hata majeruhi wanatakiwa wabebwe ukiwa umevaa groves mikononi...kwa ajili ya kuepuka infection kwa magonjwa yanayoambukiza............
Jana wakati nasafiri kuelekea mwanza tulifika maeneo ya usagala tukakuta kuna kundi kubwa la watu,watu hao walikuwa wanashangaa tukio la wafungwa walio ruka kutoka katika gari la polisi mmoja aalikufa hapo hapo wengine wawili waliumia vibaya sana,wale walio umia walibebwa kawaida tu ila yule aliye kufa walisubiri cloves ndio wakambeba. Sasa kwanini inakuwa hivyo,maana nilitegemea mzima ndio abebewe glove kwakuwa kama ni vidudu vinakuwa bado vina uhai ila alie kufa abebwe bila glove kwakuwa vidudu havina uhai kwani damu ya maiti imeacha kutembea
Kwa uelewa wangu cloves ni karafuu
Jana wakati nasafiri kuelekea mwanza tulifika maeneo ya usagala tukakuta kuna kundi kubwa la watu,watu hao walikuwa wanashangaa tukio la wafungwa walio ruka kutoka katika gari la polisi mmoja aalikufa hapo hapo wengine wawili waliumia vibaya sana,wale walio umia walibebwa kawaida tu ila yule aliye kufa walisubiri cloves ndio wakambeba. Sasa kwanini inakuwa hivyo,maana nilitegemea mzima ndio abebewe glove kwakuwa kama ni vidudu vinakuwa bado vina uhai ila alie kufa abebwe bila glove kwakuwa vidudu havina uhai kwani damu ya maiti imeacha kutembea