Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo mchana nilikuwa nimechoka na kazi ngumu nikasema acha nikajifidie hata masaa sita nikalale.
Nikajikuta nimeishia saa moja japo kuwa usiku mzima nyuma yake sikulala kabisa
Kama umeongea kitaalamu hivi.. lkn siaminiMelanini pigment zikiwa kwenye natural process ya reproduction ya blue cells zina detect mwanga wa jua na hivyo kuzifanya sensor motor zinazoleta usingizi kumkataza mtu asilalle mchana kwa muda mrefu.
Hii sijawahi kuisoma. Siwezi kubisha coz sijaisoma. Nachojua hormone inayochochea usingizi ni melatonin ambayo hutolewa na ubongo kwa wingi wakati wa usikuMelanini pigment zikiwa kwenye natural process ya reproduction ya blue cells zina detect mwanga wa jua na hivyo kuzifanya sensor motor zinazoleta usingizi kumkataza mtu asilalle mchana kwa muda mrefu.
Mimi huwa nikiwa ugenini pia sipati usingizi. Yaani hata nilale five stars hotel usingizi unakuwa wa mauzauza. Ila nikiwa kwangu hata nikilala kwenye mkeka usingizi ni wa kutosha.Sio swala la mchana tu ukienda kwenye nchi ambazo usiku ni mfupi siku za mwanzo utapata shida kuzoe patterns za kulala maana utakuta imegonga saa sita au saba usiku nje ndo kama saa 12 ya bongo kijua kinaishia.. ubongo wako umekuwa kama wa kuku haujaona giza basi jicho halifumbi utalala kimauza uza.. utasema umepata "Insomnia"ila baada ya siku kadhaa utazoea
Njia peke ni kuhakikisha una giza kabisa ndani. So ungehakikisha kuna giza
Mimi huwa nikiwa ugenini pia sipati usingizi. Yaani hata nilale five stars hotel usingizi unakuwa wa mauzauza. Ila nikiwa kwangu hata nikilala kwenye mkeka usingizi ni wa kutosha.
Sina Trauma yoyote. Nimebahatika kukulia familia ya baba na mama kwa malezi bora kabisa. Sijawahi kulala kwenye maeneo hatarishi.Kaka una trauma moja kali sana.. historia yako ya maisha ushawah kulala kwenye maeneo hatarishi? .. mfano sehem zenye mapigano ya vita.. au porini..
Maana inaelekea akili yako imeshindwa kurelax u apokuqa kwenye mazingira magen.. so kuna matukio kwenye maisha yako yametengeneza hiyo trauma
Pigment inayo patikana kwenye ngozi inaitwaje ? Ambayo mostly albino hawana.Hii sijawahi kuisoma. Siwezi kubisha coz sijaisoma. Nachojua hormone inayochochea usingizi ni melatonin ambayo hutolewa na ubongo kwa wingi wakati wa usiku
Inaitwa melanini ila uhusiano wa melanin na usingizi hadi nisome. Siwezi comment kitu ambacho sijui kama ni factPigment inayo patikana kwenye ngozi inaitwaje ? Ambayo mostly albino hawana.
Rekebisha heading iwe kwa nini mimi siwezi kulala mchana? Ukichukulia binadamu kwa wingi wao unatakiwa uwe umefanya tafiti kwa watu wengi...Leo mchana nilikuwa nimechoka na kazi ngumu nikasema acha nikajifiRekebushadie hata masaa sita nikalale.
Nikajikuta nimeishia saa moja japo kuwa usiku mzima nyuma yake sikulala kabisa