Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Hili jambo linanishangaza sana, Black people karibia Dunia nzima wanapenda sana Communism badala Capitalism, kuanzia black Amerika, latin black amerika, Caribbean mpaka kwetu Afrika communism /socialism ndo inavutia wengi klk capitalism.
Ukiangalia watu kama akina Martin Luther King USA ni communist/socialist, Mandela socialist/communist hata Chama cha ANC ni Communist hapa kwetu Tanzania hivyo hivyo Socialism/Communism.
Sasa ni kwanini? Wakati Capitalism ndiyo ina-create wealth? Nchi zote zilizoendelea Duniani ni Capitalist, Capitalism ndiyo inayoweza kupunguza na kuondoa umaskini, lakini kwa nini tunavutiwa na Communism?
Ukiangalia watu kama akina Martin Luther King USA ni communist/socialist, Mandela socialist/communist hata Chama cha ANC ni Communist hapa kwetu Tanzania hivyo hivyo Socialism/Communism.
Sasa ni kwanini? Wakati Capitalism ndiyo ina-create wealth? Nchi zote zilizoendelea Duniani ni Capitalist, Capitalism ndiyo inayoweza kupunguza na kuondoa umaskini, lakini kwa nini tunavutiwa na Communism?