Hili jambo linanishangaza sana, Black people karibia Dunia nzima wanapenda sana Communism badala Capitalism, kuanzia black Amerika, latin black amerika, Caribbean mpaka kwetu Afrika communism /socialism ndo inavutia wengi klk capitalism.
Ukiangalia watu kama akina Martin Luther King USA ni communist/socialist, Mandela socialist/communist hata Chama cha ANC ni Communist hapa kwetu Tanzania hivyo hivyo Socialism/Communism.
Sasa ni kwanini? Wakati Capitalism ndiyo ina-create wealth? Nchi zote zilizoendelea Duniani ni Capitalist, Capitalism ndiyo inayoweza kupunguza na kuondoa umaskini, lakini kwa nini tunavutiwa na Communism?