Kwanini bongo kusikuwe na Black Friday tuchangamkie mahindi

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Mzuka!

Ingependeza tungeiga hii makitu Black Friday kutoka kwa mabeberu ambayo ni kesho kuna punguzo la bei kwa kila bidhaa.

Bongo ingekuwepo watu kesho tungechangamkia kununua magunia ya mahindi. Sasa hivi mahindi imeteka soko.
 
Umejuwaje mwana pande zetu wanasubiria kwa hamu zote.Piga banka moja kubwa sana mpaka mwakani mixer Nyama na Vimiminika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…