Realboynicky
Senior Member
- Mar 31, 2023
- 156
- 296
Licha ya kuwa tupo katika ukingo wa bahari lakini magari yapo bei juu sana kiasi kwamba gari za zamani wengi ndo tunatamba nazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni aina ya utawala tulionao hapa nyumbani.Licha ya kuwa tupo katika ukingo wa bahari lakini magari yapo bei juu sana kiasi kwamba gari za zamani wengi ndo tunatamba nazo
Licha ya kuwa tupo katika ukingo wa bahari lakini magari yapo bei juu sana kiasi kwamba gari za zamani wengi ndo tunatamba nazo
Kodi mkuu. Bora hata ya bongo. kodi ya ethiopia ni noma mkuu.Licha ya kuwa tupo katika ukingo wa bahari lakini magari yapo bei juu sana kiasi kwamba gari za zamani wengi ndo tunatamba nazo
Licha ya kuwa tupo katika ukingo wa bahari lakini magari yapo bei juu sana kiasi kwamba gari za zamani wengi ndo tunatamba nazo
Kweli mkuu,kuliko hata south Africa ambazo hutengeneza under licence mpyaLicha ya kuwa tupo katika ukingo wa bahari lakini magari yapo bei juu sana kiasi kwamba gari za zamani wengi ndo tunatamba nazo
ishu syo gar mbei nkubwa ni makato ya TRA ndy balaaa kama unayo misamaa ya kodi na lesen ya mlipa kodi bs ww kuaagza gar autaweza kusumbuliwaLicha ya kuwa tupo katika ukingo wa bahari lakini magari yapo bei juu sana kiasi kwamba gari za zamani wengi ndo tunatamba nazo