Kwanini bunge linakosa utashi katika kuidhinisha vipaumbele vya serikali

Kwanini bunge linakosa utashi katika kuidhinisha vipaumbele vya serikali

TXGA

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2021
Posts
244
Reaction score
325
Yaani kilimo ambacho kimiajiri wananchi asilimia 85% kimetengewa billion 751 wakati wizara ujenzi na uchukuzi imetengewa TRILION 03 sasa hapa kuna nini? Utakuwa umeondoa umaskini wa hiyo population ya 85% kivipi hapo?
 
Back
Top Bottom