Kwanini CAF Cup halifananishwi na CAF Confederation Cup?

Nina wasiwasi mkubwa kama wale wenzangu na mimi walioitwa mbumbumbu na mwenyekiti wao, watakuekewa.
Huna furahaa kabisaa rafikiii, poleeeeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mleta mada nenda ulale upigwe kamoja.
 
Hata ulaya kulikuwa na mashindano matatu mpaka yalipovunjwa mamoja 1999.
 
Umejieleza sana.Kwa hiyo unataka kuhalalisha kitu gani?
 
Mnahangaika sana ili muweke rekodi kuizidi Simba lakini kumbukeni hata ubingwa wa kihistoria ni wa mchongo sana.Maana ubingwa wa ligi daraja la kwanza sio sawa na ubingwa wa ligi kuu.
Idadi ya timu imebadilika,kila kitu kimebadilika.Zamani ukishinda unapata pointi 2 sare pounti 1.Sasa unajiitaje bingwa mara 29?
 
Mm malengo tofauti kwenye mashindano ya shirikisho Moja ni yapi hayo
 
NDIO maana ñikasema ndondo cup ya kimaitaifa. Mashindano makubwa nchini ni Ligi Kuu, kisha inakuja Shirikisho then NDONDO CUP. NDONDO CUP ni MAPINDUZI CUP na yale ya KINESI.
 
NDIO maana ñikasema ndondo cup ya kimaitaifa. Mashindano makubwa nchini ni Ligi Kuu, kisha inakuja Shirikisho then NDONDO CUP. NDONDO CUP ni MAPINDUZI CUP na yale ya KINESI.

Haikuwa Ndondo CUP.

Yalikuwa ni mashindano namba tatu kwa ubora ngazi ya vilabu afrika.

Ndio maana Stella Abdjan hakucheza Super CUP 1993.
Haikuwa Ndondo CUP.

Yalikuwa ni mashindano namba tatu kwa ubora ngazi ya vilabu afrika.

Ndio maana Stella Abdjan hakucheza Super CUP 1993.
Mnaicheka Yanga iliyo kosa kombe la pili kwa ukubwa, nyie Simba ni wadogo sana kwa Yanga, kuanzia upstairs hadi kwenye mafanikio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…