Kwanini Canaan alilaaniwa na sio Ham?!

Kuna ishu ya damu hapa kizalia kinahusika sana
kwa hiyo kama wazazi au mababu zangu walifanya maora hata kama mimi sijahusika na sijui inawezekana nikapata madhara...vipi kuhusu wakoloni waliotesa watumwa hichi kizazi chao cha leo kinaweza kuwa kina madhara kinayapata kutokana na hayo waliofanya mababu zao(dhulma na mateso kwa watumwa hasa wa Africa)
 
Okay nikiri sijui maandiko kama ww ndio maana nikaleta mada hapa ili wajuzi mnisaidie interpretation maana najifunza je unaweza kunielewesha kwanini canaan alilaaniwa sio Ham.... Tumeskia maoni ya wengi je yako ni yapi ili tusipotoke tena.

Karibu
Umechukua nadharia(ambazo sio zako wala za biblia)kuelezea hoja yako dhaifu(sorry to say).
Kanaan alimkuta baba yake kalewa(hakumnywesha yeye pombe) na kwenda kuita wenzake waje washangae uchi wa baba yao. Wenzake wakachukua nguo wakaenda kinyumenyume na kumfunika baba aliekuwa uchi. Pombe ilipoisha kichwani mzee akajua alichofanya mwanae, akamlaani.

Ukifuatilia kizaz cha Kanaan waliishi Ethiopia na nchi nyingine kaskazini kwa Afrika., japo biblia haisemi wala kutaja mahali popote kwamba huyu jamaa aliye laaniwa alikuwa mweusi.

Biblia inataja mataifa mawili na kabila mbili za watu zikitofautishwa na rangi sehemu moja tu --Esau na Jacob. Hivyo tukitumia biblia kama chanzo cha kujua asili ya muAfrika na MTU mweupe tuangalie WAP bible imetaja watu/kabila/taifa walio tofautishwa na rangi zao
 
Mkuu ni wapi kaanani alimchungulia baba yake?? Biblia inasema Ham ndio alichungulia ila laana ndio kwa Ham ndio maana mada imeletwa hapa kama sasa sielewi umetoa wapi hii hoja yako

Kingine HAM kuwa mweusi sio mpaka biblia iseme upo ushahidi wa kisayansi kuelezea hamites nature yao ni weusi na weupe walitokana na caucasoids ambao ni uzao wa japhet na hata pote walipoishi uzao wa Ham na japhet kuna wazungu na waafrika na pote walipoishi Semites yaani watoto wa SHEM utakuta waarabu wanaishi

Ni vizuri kabla ya kukosoa uwe umejiandaa kuliko kumislead watu...... Sasa kaanani aliishi ethiopia lini?? Duh
 
Minor correction, Ham ndiye aliyeona uchi wa babaye, Kanaani ni uzao wa huyu ndugu

Ninachopinga ni hoja yako kwamba hapa ndiko Mu afrika alikotoka
 
Minor correction, Ham ndiye aliyeona uchi wa babaye, Kanaani ni uzao wa huyu ndugu

Ninachopinga ni hoja yako kwamba hapa ndiko Mu afrika alikotoka
Hapana mkuu sijasema Ham alikuwa mweusi ila kote nimesema MKE WA HAM ndio alikuwa mweusi ndio maana watoto wote wa Ham walikuwa weusi Ethiopia misri na libya hawa ndio watoto wa kwanza wa Ham na wote nchi zao ni za wati weusi kihistoria ila nakataa kuwa laana ndio ilimfanya awe mweusi soma hapo kwenye HITIMISHO

Barikiwa
 
Unafaham 'Kush' inayotajwa na bibilia kwenye habari hii ni nchi gani kwa sasa? Ni vizurr kabla ya kuanzisha hoja ujue misingi inayoshikilia hoja
 
Unafaham 'Kush' inayotajwa na bibilia kwenye habari hii ni nchi gani kwa sasa? Ni vizurr kabla ya kuanzisha hoja ujue misingi inayoshikilia hoja
Kush siongelei nchi ila jamii.... Na waliishi mashariki ya kati huko Yemen/bahrain ya sasa ndio baadae migration na mambo mengineyo pamoja na vita na falme za mesopotamia ilipelekea wamigrate afrika na kusettle kaskazini mashariki mwa afrika wakateka kuanzia sudan mpaka eritrea enzi hizo na ndio mwishoni walasettle huko huko kwenye pembe ya afrika ila nature yao ni KUSH huyo huyo huyo wa biblia
 
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Nishakumbuka Sasa Kwanini Filamu Ya Noah ile mpya ilipingwa sana
maana kuna baadhi ya picha zinazochezwa mle zipo sawasawa kabisa na baadhi ya ukweli uliousema anyway
acha tuone hoja zingine
 
mpendwa zitto junior
kwanza hongera sana kwa mada tamu na fikirishi namna hii nikuweke wazi tu kuwa mada zako zote nimezipata kupitia TAGS zako ahsante na ninakuomba usichoke kuniTAG tena na tena kila upandishapo nyuzi za aina hiyo kumbuka kuniTAG........ahsante sana kwa hilo

pili mpendwa zitto junior kwenye hii mada yako nimejaribu kuifatilia pamoja na nadharia ulizoziambatanisha na kugundua kuwa kuna vitu viwili vinahitaji majibu ya kina yasio ya kutumia nguvu nyingi wala kulazimisha na yasio na mashaka kabisa

1. kwanini Mungu alimlaani canaan badala ya ham (mwenye hatia)
2. kwa nini laana laana laana kizazi kimoja mpaka cha tatu au nne ?

mpendwa kimsingi hivo vitu ni maswali fikirishi sana na vinavoitaji majibu kwa faida ya wengi

kuna maelezo kadhaa nilitaka niyatoe lakini naona hayajitoshelezi na maswali ya msingi hasa la kwanza yatabaki palepale. hivyo ninaomba muda ili tuendelee kutafiti na kujifunza zaidi

pamoja sana na barkiwa sana mpendwa
 
Nmefurahi sana kuona umerudi jukwaani naada ya muda mrefu..... Nikiri tu tokea ule uzi wa CHRISTMAS nimegundua una kitu kikubwa sana sana ambacho Mungu amekupa ili ulete impact kwenye jamii hivyo nkuombe ujitahidi angalau uwe unapita pita mitandaoni huku uendelew kumwaga elimu nzito kila upatapo muda

Kuhusu mada ucjal ntaendelea kukutag maana najua utaziona tu at ur convenient time pia kuna mada nyingine nmeandaa nmekutag nasubiri mods waiachie i hope hiyo pia utaipitia utupe elimu adimu

Barikiwa
 
mtu anapoleta mada kama hii ya nuhu huwa nakumbuka gharika feki
sijui lini watu weusi wataamka na kurealize everything narrated in the bible is just a fairytale
 
mtu anapoleta mada kama hii ya nuhu huwa nakumbuka gharika feki
sijui lini watu weusi wataamka na kurealize everything narrated in the bible is just a fairytale
gharika feki unayokumbuka ni ipi na hiyo orijino yake itakua ipi maana kwenye feki kutakua na orijino
 
gharika feki unayokumbuka ni ipi na hiyo orijino yake itakua ipi maana kwenye feki kutakua na orijino
original(which was actually a mythology) ni epic of gilgamesh ambamo yamesimuliwa mafuriko ambayo miaka elfu kadhaa wazungu wakacopy na kupesti kwenye kitabu chao kinachoitwa biblia
 
original(which was actually a mythology) ni epic of gilgamesh ambamo yamesimuliwa mafuriko ambayo miaka elfu kadhaa wazungu wakacopy na kupesti kwenye kitabu chao kinachoitwa biblia
Unanikumbusha mbali sana kina enkidu,shamash na utnapishtim.... Hatari sana
 
mtu anapoleta mada kama hii ya nuhu huwa nakumbuka gharika feki
sijui lini watu weusi wataamka na kurealize everything narrated in the bible is just a fairytale
Mkuu nliwahi leta mada kuhusiana na hilo nafkiri unakumbuka matusi niliyotukanwa..... Humu wafia dini ni wengi so inatakiwa niende na spidi yao otherwise patakuwa hapatoshi humu
 
original(which was actually a mythology) ni epic of gilgamesh ambamo yamesimuliwa mafuriko ambayo miaka elfu kadhaa wazungu wakacopy na kupesti kwenye kitabu chao kinachoitwa biblia
kwaio hata wana israel kutoka utumwani walicopy simulizi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…