Kwanini Canaan alilaaniwa na sio Ham?!

Caanan ndio wewe muafrika[emoji52][emoji52][emoji1][emoji1] ila ndio ulikuwa unakaa pale Israel ya leo....
Na Ham alimjua baba yake ukisoma bible kwa mbele kuna makatazo yanatajwa kuwa ukimjua mama yako basi umemjua baba yako theoretically....
So wadadavuzi wanasema Ham alimjua mama yake ndo akatoka Caanani ( so huyu alikuwa ni laana[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35])
Kabla ya hapo ni kama hawakuijua dhambi....bible ilitumia kiswahili mnyumbuluko ili kuficha hii situation eti" according to wadadavuzi"
 
Mwana atauchukua uovu wa baba yake
 
Thambi hairithiwi .
 
Hii kweli ina ukakasi..ila Mungu alisema "...nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne..." Sasa sielewi kwa nini wana wapatilizwe maovu ya baba zao.


Yawezekana hata Kanaani alilaaniwa kwa sababu ya maovu ya baba yake Hamu.
Hivi inakuwaje kosa afanye mtu mwingine then adhabu apewe mwingine? hii imekaaje? Sometimes Bible huwa siielewi yani
 
Vitu mnavyojadili naona sivielewi yani. hafu tofauti na mimi navyotazama ili mistari.. Ham anawakilisha mataifa yaliolaaniwa.
 
Umechambua vyema japo unaruka kipengele kinachosema ndugu zake ham walichuku shuka wakarud kinyume nyume wakamfunika baba yao....ili wasimwone pia...so kama issue ni kutembea na mke wa baba yake.....kwann kuwe na kumfunika baba
 
Umechambua vyema japo unaruka kipengele kinachosema ndugu zake ham walichuku shuka wakarud kinyume nyume wakamfunika baba yao....ili wasimwone pia...so kama issue ni kutembea na mke wa baba yake.....kwann kuwe na kumfunika baba
Kwa muktadha wa kuona uchi wa Babako kutoka kwenye sheria za Torati na Nabii Habakkuk zinaonyesha ina maana ya kumlala mke wa Baba yako..... Basi kwa maelezo hayo tunaweza sema kurudi kinyume nyume ina maana walikataa kuona uchi wa baba yao (Kumlala mke wa baba yao) na kumfunika itamaanisha walizuia kitendo cha Ham kuona uchi wa babake hivyo walienda either kumkemea au kumzuia kuendelea kufanya kitendo hicho.

Najaribu kuwaza tu kama inaleta maana..... Sababu mafumbo kwenye Biblia ni relative mfano wakisema wana wa Mungu ni kama kondoo itamaanisha opposite ya kondoo yaani Mbwa mwitu n.k ni wana wa shetani.

Sijui inaleta maana??
 
Hivyo ndio vituko vya mungu wenu wa kwenye biblia,kosa la kuzini kafanya daudi lakini anaadhibiwa mwanae...hovyo kabisa aliyeandika hizi hekaya
Lakini mkuu nafikiri hii principle ipo kwa miungu wote rejea tablets za sumeria kuhusu miungu wao ambapo ilipanga kuiangamiza watu wote wa kizazi chao ila ni Utnapishtim pekee alitonywa na mungu mmojawapo Shamash hivo kuepuka gharika lile lilioua kizazi kizima.

Hata hekaya za miungu wa kigiriki (Greek mythology) unaweza ona Zeus licha ya kumuadhibu Medusa kwa kumsaliti lakini aliweka laana kwa mwanaume yeyote atakayemtamani hivyo ukimuangalia tu unageuka jiwe.... Kosa la mtu mwingine ila adhabu hata kwa wasiohusika.

Je kwa maoni yako tukiachana na uhalali wa ''hekaya'' hizi je shida ipo kwa mungu wa biblia yaani "YHWH" pekee au hii kanuni ni ya miungu wote??

Let alone wanadamu pia ambao ukifanyiwa tatizo na mtu wa jamii fulani basi unaweka bias na jamii nzima.....

Nipe mtazamo wako assuming hizi hekaya ni za kweli....
 
Nashukuru uliposema "hata kwenye mythology za miungu wengine" ...wale wengine waliweka wazi kuwa zile ni myth,hawa biblia wanataka kuwaaminisha wajinga kuwa zile hadithi zilitokea kweli..
Back to your topic,..katika mythology zote moral of the story ni kuwa usitende ovu sababu litakiletea shida kizazi chako..it seems huko nyuma family love ilikuwa juu sana ndio maana vitisho vilielekezwa kwenye kuteketeza familia na kizazi chako
 
Nimesoma mawazo ya watu tu,,ila kwa kusema kidogo,, Bado naona biblia inajisimamia yenyewe ukiishirikisha kunatokea confusion.
 
Nimesoma mawazo ya watu tu,,ila kwa kusema kidogo,, Bado naona biblia inajisimamia yenyewe ukiishirikisha kunatokea confusion.
Basi tusaidie hapo kipi kilisababisha Dhambi afanye mwingine na laana apewe mwingine?? Je hiyo ni haki?? Au ilikuwa janja ya wayahudi ili wapate uhalali wa kuivamia Canaan??
 
Ni haki maana hukumu hutokana na sheria,,,na hio ni mojawapo ya sheria ama kanuni.Huyo alietenda dhambi alikuwa akimalizia kusudi la kuwepo kwake,,hivyo adhabu yake ilianzia kwa kizazi chake.Kama unaamini Mungu yupo basi uamini yupo kwenye ulimwengu usioonekana na wenye sheria zake na viumbe wengi kushinda huu.
Basi tusaidie hapo kipi kilisababisha Dhambi afanye mwingine na laana apewe mwingine?? Je hiyo ni haki?? Au ilikuwa janja ya wayahudi ili wapate uhalali wa kuivamia Canaan??
 
Hiyo sheria imeandikwa kwenye mstari gani maana kila jibu lazima litoke kwenye maandiko/reference.

Je kama hii ndio procedure kivp Mungu alimuadhibu Adam na sio wanawe kina Abel??

Sijaelewa hii exception imetoka wapi.... Embu tusaidiane
 
How to Read the Bible

A Guide to Scripture, Then and Now

READ AN EXCERPT

Scholars from different fields have joined forces to reexamine every aspect of the Hebrew Bible. Their research, carried out in universities and seminaries in Europe and America, has revolutionized our understanding of almost every chapter and verse. But have they killed the Bible in the process?

In How to Read the Bible, Harvard professor James Kugel leads the reader chapter by chapter through the “quiet revolution” of recent biblical scholarship, showing time and again how radically the interpretations of today’s researchers differ from what people have always thought.

The story of Adam and Eve, it turns out, was not originally about the “Fall of Man,” but about the move from a primitive, hunter-gatherer society to a settled, agricultural one. As for the stories of Cain and Abel, Abraham and Sarah, and Jacob and Esau, these narratives were not, at their origin, about individual people at all but, rather, explanations of some feature of Israelite society as it existed centuries after these figures were said to have lived. Dinah was never raped — her story was created by an editor to solve a certain problem in Genesis. In the earliest version of the Exodus story, Moses probably did not divide the Red Sea in half; instead, the Egyptians perished in a storm at sea. Whatever the original Ten Commandments might have been, scholars are quite sure they were different from the ones we have today. What’s more, the people long supposed to have written various books of the Bible were not, in the current consensus, their real authors: David did not write the Psalms, Solomon did not write Proverbs or Ecclesiastes; indeed, there is scarcely a book in the Bible that is not the product of different, anonymous authors and editors working in different periods.
Such findings pose a serious problem for adherents of traditional, Bible-based faiths.

Hiding from the discoveries of modern scholars seems dishonest, but accepting them means undermining much of the Bible’s reliability and authority as the word of God. What to do? In his search for a solution, Kugel leads the reader back to a group of ancient biblical interpreters who flourished at the end of the biblical period. Far from naïve, these interpreters consciously set out to depart from the original meaning of the Bible’s various stories, laws, and prophecies — and they, Kugel argues, hold the key to solving the dilemma of reading the Bible today.

How to Read the Bible is, quite simply, the best, most original book about the Bible in decades. It offers an unflinching, insider’s look at the work of today’s scholars, together with a sustained consideration of what the Bible was for most of its history — before the rise of modern scholarship. Readable, clear, often funny but deeply serious in its purpose, this is a book for Christians and Jews, believers and secularists alike. It offers nothing less than a whole new way of thinking about sacred Scripture.
 
Nawapatiliza wana maovu YA BABA zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukizao""""

Suala la Adam aliadhibiwa na wanawe wote walirithi adhabu yake,,,mfano magonjwa,,kupata mahitaji kwa kustrugle na kifo,,haya yote wanawe waliyapata kutokana ma kosa la baba yao.
Hiyo sheria imeandikwa kwenye mstari gani maana kila jibu lazima litoke kwenye maandiko/reference.

Je kama hii ndio procedure kivp Mungu alimuadhibu Adam na sio wanawe kina Abel??

Sijaelewa hii exception imetoka wapi.... Embu tusaidiane
 
Mkuu sijui umeelewa swali langu??

Yaani kwanini laana ya Ham haikuanzia kwake ndio iendelee kwa kizazi cha 4..... Ila Haikuanzia kwa mkosaji kama ilivyo kwa Adam.

Mfano kwanni Mungu hakusema NA ALAANIWE ABEL....... Ila akaanza adhabu directly kwa Adam!! Hapo ndio naweka swali kwanini contradiction hii??

Ukinisaidia hapa mada imeisha
 
Lolote mtakalolifunga duniani na mbinguni litakuwa limefungwa,,na lolote mtakalolifungua duniani na mbinguni litakuwa limefunguliwa"""

Hio pia ni kanuni.

Aliemlaani caanan ni babu
yake kwa hio kwa kuwa alikuwa na IMANI neno lake likatake effect kama alivyotamka.

Aliemlaani caanan ni babu yake,,ila Adam aliadhibiwa na Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…