johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nauliza tu kama Uchaguzi wa 2025 tutakuwa na Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi mbona CCM hawatoi hamasa yoyote kwa wanachama Wao!
Je, Katiba Mpya siyo kipaumbele cha CCM?
Jumaa kareem!
Je, Katiba Mpya siyo kipaumbele cha CCM?
Jumaa kareem!