Hili LA kukatwa liangaliwe kwa Akili pevu.
Mbona wale wabunge wakomavu hawakatwi? Mbowe,lema, msigwa,mdee etc
Inamanisha wenye uelewa upinzani ni wabaguzi na kule hakuna Team work.
Kwa nini wasingetafuta mawakili wa chsma kusaidia wageni ns wasio na uwezo kujaza kwa uhakika.
Na Kama wanaonewa si wakati refaa mkuu