Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
mtaani wapi au ndani kwako? Maana tuliopo mtaani hatuyasikii uyasemayo,angalia sana huenda wanao ndani kwako hawakutaki kisa unasubiri serikali ikuletee hela badala ya fursa na miundo mbinu bora na wezeshi.Huku mtaani, wananchi wanasema, miaka mitatu ya huyu, ni kama 10 hivi!!
Mitano inatosha, kama Kweli ni waumini wa DEMOKRASIA kama CHADEMA.
Tuongelee mgombea Urais, CCM=10 yrs, while CDM=5years per each election period.SIJUI WAMEKOMAA SEHEMU GANI HAO CHADEMA WAKAT MWENYEKITI ANAKARIBIA KUANZA KUFUNGWA NEPI KWA UZEE AKIWA MWENYEKITI HATAKI KUACHIA MADARAKA HALAFU MNASEMA WAJIFUNZE KWA CHADEMA?? UJINGA HUO UTAKUWA
Waige kushindwa!Ukomavu huo wa kidemokrasia, ni WA kupigiwa mfano.
Igeni ikiwapendeza.
Hilo HALIWEZEKANI, kamwe CCM haiwezi ondolewa madarakani kupitia SANDUKU LA KURA.Hujawaelewa,
Wamesema watahakikisha TUME HURU ya UCHAGUZI inapatikana kabla ya kuingia uchaguzi wowote!!
Haiondoki hata kama wananchi wakiamua?Hilo HALIWEZEKANI, kamwe CCM haiwezi ondolewa madarakani kupitia SANDUKU LA KURA.
Waige DEMOKRASIA, Kigwangala Kwa Mfano, alikuwa na ndoto za kugombea 2025, ameamua kuacha!!Waige kushindwa!
Ile inaitwa chama cha MAPINDUZI, njia pekee ya kuiondoa CCM ni mapinduzi.Haiondoki hata kama wananchi wakiamua?
Mbona kwenye ubunge, CCCM imeangushwa mara nyingi tu majimbo mbalimbali?
Demokrasia ipo ccm 2015/20 walifika watia zaidi ya 40 huyo hamisi hajazuiwa na mtu!Waige DEMOKRASIA, Kigwangala Kwa Mfano, alikuwa na ndoto za kugombea 2025, ameamua kuacha!!
Unapingana na wanaodai itachapishwa fomu Moja tu 2025?Demokrasia ipo ccm 2015/20 walifika watia zaidi ya 40 huyo hamisi hajazuiwa na mtu!
Nayo pia ni demokrasia nilifikiri kusengekuwa na mgombea!Unapingana na wanaodai itachapishwa fomu Moja tu 2025?
Mnafiq ktk ubora wako πSafari Hii 2025 wasipomsimamisha Tundu Antipas Lisu tutagawana Mbao Hapo Ufipa st
Chadema ni chama cha utafiti, hata 2015 utafiti ulionensha Mzee lowasa alikua juu ya Mzee slaa kisiasa,Salaam, Shalom!!
Tukiwa msibani, tuendelee kupiga stori kidogo!!
Chama Cha DEMOKRASIA na Maendeleo CHADEMA, kilianzishwa May 1992 na Ndugu Mtei aliyewahi kuwa Governor wa Benki kuu ya Tanzania.
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, CDM haikusimamisha kabisa mgombea Urais, Nia ilikuwa ni kusoma mchezo wa siasa za Nchi hii, na kuunga mkono chama kilichokuwa na nguvu Kwa wakati huo.
Mwaka 2005, CDM, ilisimamisha mgombea Urais Kwa mara ya kwanza, Mgombea Urais huyo wa wakati huo aliitwa Ndugu Freeman Aikael Mbowe. Baada ya Uchaguzi huo, chama kikaanza kuenea Kwa Kasi, hii ni baada ya Aliyekuwa mgombea Urais wa chama hicho, kuamua kuongeza juhudi ya kulijenga chama.
Mwaka 2010, chama hiki, kiliamua kuja na mgombea Urais mwingine tena, time hii, alikuja ndugu Dr Wilbroad Slaa. Chama kikaendelea kupata uungwaji mkono zaidi.
Mwaka 2015, Dr Slaa alitamani sana kugombea tena akiamini ana nguvu na umaarufu wa kutosha kushinda uchaguzi, lakini kama kawaida ya Chama hiki, kikamramba chenga ya MWILI na kumleta mgombea mpya tena, Time hii, ilimchukua Mzee Lowassa Kutoka timu pinzani Kwa Imani kuwa ingizo Hilo, litaleta tija, na Kweli, tuliiona mambo yalibadilika.
Mwaka 2020, Chama kikatuletea mgombea mpya tena, mgombea Machachari, Ndugu Tundu Antipas Lissu, inasemekana, pasingelikuwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi Ule, chama kingepiga hatua kubwa zaidi.
Kwa trend hii, CDM imeonyesha DEMOKRASIA ya hali ya juu, maana Kila baada ya miaka mitano, imebadili mgombea tofauti na chama Dola, CCM, wao Kila baada ya miaka 10 ndo hubadili mgombea Urais,labda itokee ameitwa mbele za HAKI!!
Kuelekea 2025, CDM itaendeleza Utaratibu huu wa kuja na mgombea mpya, au itaangalia kati ya wagombea Bora waliopita na kutuletea mojawapo?
Kwanini CDM haikuwa ikirudia wagombea Urais kama CCCM
na CUF ya Lipumba?
Karibuni π
Chadema hawana raia mpya wa kugombea urais 2025, tutegemee sura ile
Nje ya mada,ni muhimu chadema kujenga makao makuu yenye hadhiChadema ni chama cha utafiti, hata 2015 utafiti ulionensha Mzee lowasa alikua juu ya Mzee slaa kisiasa,
CCM ilipora Mali za umma vikiwemo viwanja, majengo nk nk.Nje ya mada,ni muhimu chadema kujenga makao makuu yenye hadhi
Huwa wanabahatisha, wagombea baada ya kipigo hawakubali kurudi tena ndo maana hukumbilia ubunge. Mbowe, Slaa baada ya kipigo walikimbilia ubunge.Salaam, Shalom!!
Tukiwa msibani, tuendelee kupiga stori kidogo!!
Chama Cha DEMOKRASIA na Maendeleo CHADEMA, kilianzishwa May 1992 na Ndugu Mtei aliyewahi kuwa Governor wa Benki kuu ya Tanzania.
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, CDM haikusimamisha kabisa mgombea Urais, Nia ilikuwa ni kusoma mchezo wa siasa za Nchi hii, na kuunga mkono chama kilichokuwa na nguvu Kwa wakati huo.
Mwaka 2005, CDM, ilisimamisha mgombea Urais Kwa mara ya kwanza, Mgombea Urais huyo wa wakati huo aliitwa Ndugu Freeman Aikael Mbowe. Baada ya Uchaguzi huo, chama kikaanza kuenea Kwa Kasi, hii ni baada ya Aliyekuwa mgombea Urais wa chama hicho, kuamua kuongeza juhudi ya kulijenga chama.
Mwaka 2010, chama hiki, kiliamua kuja na mgombea Urais mwingine tena, time hii, alikuja ndugu Dr Wilbroad Slaa. Chama kikaendelea kupata uungwaji mkono zaidi.
Mwaka 2015, Dr Slaa alitamani sana kugombea tena akiamini ana nguvu na umaarufu wa kutosha kushinda uchaguzi, lakini kama kawaida ya Chama hiki, kikamramba chenga ya MWILI na kumleta mgombea mpya tena, Time hii, ilimchukua Mzee Lowassa Kutoka timu pinzani Kwa Imani kuwa ingizo Hilo, litaleta tija, na Kweli, tuliiona mambo yalibadilika.
Mwaka 2020, Chama kikatuletea mgombea mpya tena, mgombea Machachari, Ndugu Tundu Antipas Lissu, inasemekana, pasingelikuwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi Ule, chama kingepiga hatua kubwa zaidi.
Kwa trend hii, CDM imeonyesha DEMOKRASIA ya hali ya juu, maana Kila baada ya miaka mitano, imebadili mgombea tofauti na chama Dola, CCM, wao Kila baada ya miaka 10 ndo hubadili mgombea Urais,labda itokee ameitwa mbele za HAKI!!
Kuelekea 2025, CDM itaendeleza Utaratibu huu wa kuja na mgombea mpya, au itaangalia kati ya wagombea Bora waliopita na kutuletea mojawapo?
Kwanini CDM haikuwa ikirudia wagombea Urais kama CCCM
na CUF ya Lipumba?
Karibuni π
Yaweza kuwa ,kubadili wagombea Urais Kila baada ya 5 yrs, ndiyo Siri inayowafanya wakubalike sana na wananchi,Huwa wanabahatisha, wagombea baada ya kipigo hawakubali kurudi tena ndo maana hukumbilia ubunge. Mbowe, Slaa baada ya kipigo walikimbilia ubunge.
Acha unyumbu wewe, mbowe angeshinda urais 2005 ina maana wangemweka Dr Slaa 2010 agombee urais?Ndo mkubali, CDM imewaacha mbali kidemokrasia.
Wao, Kila baada ya miaka 5 wanatuletea mgombea mpya na makaratasi yake.
We ni poyoyo tu huna unalolijua. Huyo m/kiti wenu mtambadilisha lini. Hiyo ni SACOSS ya Mbowe hakuna chama hapoSalaam, Shalom!!
Tukiwa msibani, tuendelee kupiga stori kidogo!!
Chama Cha DEMOKRASIA na Maendeleo CHADEMA, kilianzishwa May 1992 na Ndugu Mtei aliyewahi kuwa Governor wa Benki kuu ya Tanzania.
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2000, CDM haikusimamisha kabisa mgombea Urais, Nia ilikuwa ni kusoma mchezo wa siasa za Nchi hii, na kuunga mkono chama kilichokuwa na nguvu Kwa wakati huo.
Mwaka 2005, CDM, ilisimamisha mgombea Urais Kwa mara ya kwanza, Mgombea Urais huyo wa wakati huo aliitwa Ndugu Freeman Aikael Mbowe. Baada ya Uchaguzi huo, chama kikaanza kuenea Kwa Kasi, hii ni baada ya Aliyekuwa mgombea Urais wa chama hicho, kuamua kuongeza juhudi ya kulijenga chama.
Mwaka 2010, chama hiki, kiliamua kuja na mgombea Urais mwingine tena, time hii, alikuja ndugu Dr Wilbroad Slaa. Chama kikaendelea kupata uungwaji mkono zaidi.
Mwaka 2015, Dr Slaa alitamani sana kugombea tena akiamini ana nguvu na umaarufu wa kutosha kushinda uchaguzi, lakini kama kawaida ya Chama hiki, kikamramba chenga ya MWILI na kumleta mgombea mpya tena, Time hii, ilimchukua Mzee Lowassa Kutoka timu pinzani Kwa Imani kuwa ingizo Hilo, litaleta tija, na Kweli, tuliiona mambo yalibadilika.
Mwaka 2020, Chama kikatuletea mgombea mpya tena, mgombea Machachari, Ndugu Tundu Antipas Lissu, inasemekana, pasingelikuwa na changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi Ule, chama kingepiga hatua kubwa zaidi.
Kwa trend hii, CDM imeonyesha DEMOKRASIA ya hali ya juu, maana Kila baada ya miaka mitano, imebadili mgombea tofauti na chama Dola, CCM, wao Kila baada ya miaka 10 ndo hubadili mgombea Urais,labda itokee ameitwa mbele za HAKI!!
Kuelekea 2025, CDM itaendeleza Utaratibu huu wa kuja na mgombea mpya, au itaangalia kati ya wagombea Bora waliopita na kutuletea mojawapo?
Kwanini CDM haikuwa ikirudia wagombea Urais kama CCCM
na CUF ya Lipumba?
Karibuni π