CHADEMA sio kama nyie CCM mnaobadilisha Viongozi wa kitaifa kila mwaka. Makatibu wenezi kila mwaka wapya mara Katibu mkuu mpya kila mwaka. CCM mnachekesha.
CHADEMA sio kama nyie CCM mnaobadilisha Viongozi wa kitaifa kila mwaka. Makatibu wenezi kila mwaka wapya mara Katibu mkuu mpya kila mwaka. CCM mnachekesha.