Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #121
Waliohusika kwenye scandal hiyo waliwajibika na kuwajibishwa. Ikumbukwe ya kuwa katiba ya CCM yenyewe inasema kuwa rushwa ni adui. Hivyo ndani ya CCM kupinga rushwa ni uzalendo uliotukukaLakini kafulila wa eskrow aliituhumu serikali ya ccm kuiba na kugawana fedha za wananchi
Wenye akili Tujadili hili la wizi kwanza kuliko hoja yako dhaifu ya chadema
je kusema fanyaneni wakubwa kwa wakubwa acheni watoto ni uzalendo?Waliohusika kwenye scandal hiyo waliwajibika na kuwajibishwa. Ikumbukwe ya kuwa katiba ya CCM yenyewe inasema kuwa rushwa ni adui. Hivyo ndani ya CCM kupinga rushwa ni uzalendo uliotukuka
Hata Chadema a wanaona hivyo kwenye Chama a chao. Unatoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio ili hali lako lina boritiChama changu kipo imara sana na ndio maana kinaendelea kupigiwa kura katika kila uchaguzi na kuaminika kwa watanzania
CCM ni chama imara na chenye mfumo imara wa kitaasisi.tofauti na CHADEMA inayokwenda kama kipofu gizaniHata Chadema a wanaona hivyo kwenye Chama a chao. Unatoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio ili hali lako lina boriti
Chadéma wanamwogopa sana DavidHata Chadema a wanaona hivyo kwenye Chama a chao. Unatoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio ili hali lako lina boriti
Wakimsikia tu wanapata presha kubwa sana na kuchanganyikiwa ,kwa sababu hoja zake huwa ni nzito sanaChadéma wanamwogopa sana David
kafulia ni mweupe sana huwezi mlinganisha na hawezi jibu hoja za akina Lisu,labda ungesema huko ccm ndo wote anawaongoza kwa uelewa sababu uvccm wengi ni mambumbumbu la saba wengine hata hawana zile sifa ya kusoma na kuandika. Me mwenyewe namtamani nikutanishwe naye na Alois nynda,kunasiku nilimchana live ananifahamu vizuri akasema bro tulia yaishe huku kijani me ndo geniusNdugu zangu Watanzania,
Nimefuatilia mijadala mbalimbali ya kisiasa inapokuwa ikifanyika katika maeneo mbalimbali, iwe ni mitaani au kwenye mitandao ya kijamii. Nimekuja kugundua kuwa CHADEMA na wana-CHADEMA wanamuogopa sana Mheshimiwa David Kafulila linapokuja suala la kushindanisha na kujenga hoja juu ya masuala mbalimbali hususani ya kiuchumi.
Hoja za Mheshimiwa Kafulila zimekuwa zikiwatoa sana jasho na kuwakimbiza kama Mwenge wa Uhuru, na hakuna anayeweza wala kufanikiwa kupangua hoja zake kwa hoja na akaweza kueleweka kwa watu. Mfano mdogo ni juu ya hoja nzito ambazo Mheshimiwa David Kafulila amekuwa akieleza na kuitetea serikali juu ya ukopaji na uchukuaji wa mikopo kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo imekuwa na matokeo chanya kwa uchumi wetu.
Mheshimiwa Kafulila ametoa elimu pana sana kuanzia masuala ya Marshall Plan ya Marekani ilivyozisaidia nchi za Ulaya, na namna nchi mbalimbali hata zilizoendelea kama vile Japan ambavyo zina madeni makubwa. Akaenda mbali zaidi kuelezea kwa hoja na ushahidi kuwa Tanzania siyo miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa na kwamba uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kiwango kikubwa sana ndani ya muda mfupi wa uongozi wa Rais Samia kutoka takribani dola bilioni 66 mpaka zaidi ya dola bilioni 85. Akaelezea pia ongezeko la watalii ambalo limefikia zaidi ya watalii milioni 1.8, ambapo imepelekea kuongezeka kwa mapato mabilioni kwa mabilioni.
Mheshimiwa Kafulila akaelezea pia maana ya ujenzi wa huduma za kijamii kiuchumi zilizojengwa awamu hii ya Rais Samia. Akaelezea mfano, kwa kipindi hiki kumekuwa na mapinduzi makubwa sana katika sekta ya afya, ambapo sasa wananchi wanapata huduma za afya karibu kabisa na maeneo yao. Ambapo sasa, badala ya mtu kutumia nauli kubwa kwenda umbali mrefu kupata huduma za afya, sasa anaokoa pesa ya nauli na kuitumia kwa mahitaji yake mengine.
Mheshimiwa Kafulila ameweza na kufanikiwa kwa uhodari na umahiri mkubwa sana na kwa takwimu kuelezea mwenendo wa kiuchumi wa dunia na hali ya mikopo na madeni kwa nchi mbalimbali duniani. Jambo ambalo limewapa elimu na ufahamu mkubwa sana wananchi. Hali hii imewaacha CHADEMA hoi bin taabani hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa wao huongea kiujumla jumla tu pasipo kuwa na takwimu za aina yoyote ile, hali inayotokana na kukosa uelewa na watu wenye uelewa na elimu ya masuala ya uchumi na namna uchumi wa dunia unavyokwenda.
Ndio maana kuna wakati walikuwa wanapiga kelele kuwa mafuta ya petroli yanauzwa bei juu sana na kwamba hali hiyo inasababishwa na serikali ya CCM. Lakini walikuja kuishiwa nguvu na kupata aibu ya karne pale walipoona Wakenya mbalimbali wanakimbilia Tanzania kununua mafuta kwa kuwa bei yetu ilikuwa ni ndogo ukilinganisha na nchini kwao. Hii ni baada ya serikali ya Rais Samia kuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku ya bilioni mia moja kila mwezi katika mafuta na hivyo kupelekea bei ya mafuta kuwa chini ukilinganisha na majirani zetu.
Ikumbukwe bei ilikuwa imepanda kutokana na kupanda katika soko la dunia, kulikokuwa kumechochewa na kuchangiwa na vita vya Ukraine na Urusi. Ila wao CHADEMA wakawa hawaelewi kitu chochote kile maana wao hawawezagi kuangalia na kujua hali ya dunia inakwenda vipi, na kwamba wao huona kama Tanzania ni kisiwa hapa duniani.
Sasa Mheshimiwa Kafulila amekuwa akiwatwanga kwa hoja nzito na zenye ushahidi wa kutosha na takwimu sahihi, jambo linalowafanya wamuogope sana na kumuona adui wao wa kuwaumbua udhaifu wao na uongo wao na upeo wao mdogo wa masuala mbalimbali hususani ya kiuchumi.
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa
Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyo unayemsema Lissu mwaka 2020 alikuwa anapotosha habari za uchumi.lakini kilichomtokea hatakaa asahau.hii baada ya kurushiwa kombora moja Zito sana la hoja nzito zilizojaa ushahidi na takwimu sahihi na za ukweli.baada ya hapo Lissu alifunga mdomo wake na hakuwahi tena kuzungumzia habari za Uchumikafulia ni mweupe sana huwezi mlinganisha na hawezi jibu hoja za akina Lisu,labda ungesema huko ccm ndo wote anawaongoza kwa uelewa sababu uvccm wengi ni mambumbumbu la saba wengine hata hawana zile sifa ya kusoma na kuandika. Me mwenyewe namtamani nikutanishwe naye na Alois nynda,kunasiku nilimchana live ananifahamu vizuri akasema bro tulia yaishe huku kijani me ndo genius
CHADEMA lingekuwa ni Dude kubwa basi tusingeshuhudia kuwa na Mwenyekiti wa Muda wote.lakini inaonyesha CHADEMA hakuna watu na ndio maana chama kipo mfukono mwa mtu mmoja tuNa wale wanataka kufungua mitandao ya kijamii nao wanamwogopa Nani.
Chadema itakusababishia stroko ya akili.
CHADEMA NI DUDE KUBWA,WEWE HUTALIWEZA.
Sana Sana,unajitekenya afu unacheka mpaka unagalagal
Spana🤣Ndugu zangu Watanzania,
Nimefuatilia mijadala mbalimbali ya kisiasa inapokuwa ikifanyika katika maeneo mbalimbali, iwe ni mitaani au kwenye mitandao ya kijamii. Nimekuja kugundua kuwa CHADEMA na wana-CHADEMA wanamuogopa sana Mheshimiwa David Kafulila linapokuja suala la kushindanisha na kujenga hoja juu ya masuala mbalimbali hususani ya kiuchumi.
Hoja za Mheshimiwa Kafulila zimekuwa zikiwatoa sana jasho na kuwakimbiza kama Mwenge wa Uhuru, na hakuna anayeweza wala kufanikiwa kupangua hoja zake kwa hoja na akaweza kueleweka kwa watu. Mfano mdogo ni juu ya hoja nzito ambazo Mheshimiwa David Kafulila amekuwa akieleza na kuitetea serikali juu ya ukopaji na uchukuaji wa mikopo kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo imekuwa na matokeo chanya kwa uchumi wetu.
Mheshimiwa Kafulila ametoa elimu pana sana kuanzia masuala ya Marshall Plan ya Marekani ilivyozisaidia nchi za Ulaya, na namna nchi mbalimbali hata zilizoendelea kama vile Japan ambavyo zina madeni makubwa. Akaenda mbali zaidi kuelezea kwa hoja na ushahidi kuwa Tanzania siyo miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa na kwamba uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kiwango kikubwa sana ndani ya muda mfupi wa uongozi wa Rais Samia kutoka takribani dola bilioni 66 mpaka zaidi ya dola bilioni 85. Akaelezea pia ongezeko la watalii ambalo limefikia zaidi ya watalii milioni 1.8, ambapo imepelekea kuongezeka kwa mapato mabilioni kwa mabilioni.
Mheshimiwa Kafulila akaelezea pia maana ya ujenzi wa huduma za kijamii kiuchumi zilizojengwa awamu hii ya Rais Samia. Akaelezea mfano, kwa kipindi hiki kumekuwa na mapinduzi makubwa sana katika sekta ya afya, ambapo sasa wananchi wanapata huduma za afya karibu kabisa na maeneo yao. Ambapo sasa, badala ya mtu kutumia nauli kubwa kwenda umbali mrefu kupata huduma za afya, sasa anaokoa pesa ya nauli na kuitumia kwa mahitaji yake mengine.
Mheshimiwa Kafulila ameweza na kufanikiwa kwa uhodari na umahiri mkubwa sana na kwa takwimu kuelezea mwenendo wa kiuchumi wa dunia na hali ya mikopo na madeni kwa nchi mbalimbali duniani. Jambo ambalo limewapa elimu na ufahamu mkubwa sana wananchi. Hali hii imewaacha CHADEMA hoi bin taabani hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa wao huongea kiujumla jumla tu pasipo kuwa na takwimu za aina yoyote ile, hali inayotokana na kukosa uelewa na watu wenye uelewa na elimu ya masuala ya uchumi na namna uchumi wa dunia unavyokwenda.
Ndio maana kuna wakati walikuwa wanapiga kelele kuwa mafuta ya petroli yanauzwa bei juu sana na kwamba hali hiyo inasababishwa na serikali ya CCM. Lakini walikuja kuishiwa nguvu na kupata aibu ya karne pale walipoona Wakenya mbalimbali wanakimbilia Tanzania kununua mafuta kwa kuwa bei yetu ilikuwa ni ndogo ukilinganisha na nchini kwao. Hii ni baada ya serikali ya Rais Samia kuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku ya bilioni mia moja kila mwezi katika mafuta na hivyo kupelekea bei ya mafuta kuwa chini ukilinganisha na majirani zetu.
Ikumbukwe bei ilikuwa imepanda kutokana na kupanda katika soko la dunia, kulikokuwa kumechochewa na kuchangiwa na vita vya Ukraine na Urusi. Ila wao CHADEMA wakawa hawaelewi kitu chochote kile maana wao hawawezagi kuangalia na kujua hali ya dunia inakwenda vipi, na kwamba wao huona kama Tanzania ni kisiwa hapa duniani.
Sasa Mheshimiwa Kafulila amekuwa akiwatwanga kwa hoja nzito na zenye ushahidi wa kutosha na takwimu sahihi, jambo linalowafanya wamuogope sana na kumuona adui wao wa kuwaumbua udhaifu wao na uongo wao na upeo wao mdogo wa masuala mbalimbali hususani ya kiuchumi.
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa
Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mke wa kwanza wa ndoa aliyeaminiwa na kupewa siri-upenuni anaogopwa hata baada ya kutalikiwa!Ndugu zangu Watanzania,
Nimefuatilia mijadala mbalimbali ya kisiasa inapokuwa ikifanyika katika maeneo mbalimbali, iwe ni mitaani au kwenye mitandao ya kijamii. Nimekuja kugundua kuwa CHADEMA na wana-CHADEMA wanamuogopa sana Mheshimiwa David Kafulila linapokuja suala la kushindanisha na kujenga hoja juu ya masuala mbalimbali hususani ya kiuchumi.
Hoja za Mheshimiwa Kafulila zimekuwa zikiwatoa sana jasho na kuwakimbiza kama Mwenge wa Uhuru, na hakuna anayeweza wala kufanikiwa kupangua hoja zake kwa hoja na akaweza kueleweka kwa watu. Mfano mdogo ni juu ya hoja nzito ambazo Mheshimiwa David Kafulila amekuwa akieleza na kuitetea serikali juu ya ukopaji na uchukuaji wa mikopo kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo ambayo imekuwa na matokeo chanya kwa uchumi wetu.
Mheshimiwa Kafulila ametoa elimu pana sana kuanzia masuala ya Marshall Plan ya Marekani ilivyozisaidia nchi za Ulaya, na namna nchi mbalimbali hata zilizoendelea kama vile Japan ambavyo zina madeni makubwa. Akaenda mbali zaidi kuelezea kwa hoja na ushahidi kuwa Tanzania siyo miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa na kwamba uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kiwango kikubwa sana ndani ya muda mfupi wa uongozi wa Rais Samia kutoka takribani dola bilioni 66 mpaka zaidi ya dola bilioni 85. Akaelezea pia ongezeko la watalii ambalo limefikia zaidi ya watalii milioni 1.8, ambapo imepelekea kuongezeka kwa mapato mabilioni kwa mabilioni.
Mheshimiwa Kafulila akaelezea pia maana ya ujenzi wa huduma za kijamii kiuchumi zilizojengwa awamu hii ya Rais Samia. Akaelezea mfano, kwa kipindi hiki kumekuwa na mapinduzi makubwa sana katika sekta ya afya, ambapo sasa wananchi wanapata huduma za afya karibu kabisa na maeneo yao. Ambapo sasa, badala ya mtu kutumia nauli kubwa kwenda umbali mrefu kupata huduma za afya, sasa anaokoa pesa ya nauli na kuitumia kwa mahitaji yake mengine.
Mheshimiwa Kafulila ameweza na kufanikiwa kwa uhodari na umahiri mkubwa sana na kwa takwimu kuelezea mwenendo wa kiuchumi wa dunia na hali ya mikopo na madeni kwa nchi mbalimbali duniani. Jambo ambalo limewapa elimu na ufahamu mkubwa sana wananchi. Hali hii imewaacha CHADEMA hoi bin taabani hasa kwa kuzingatia ukweli kuwa wao huongea kiujumla jumla tu pasipo kuwa na takwimu za aina yoyote ile, hali inayotokana na kukosa uelewa na watu wenye uelewa na elimu ya masuala ya uchumi na namna uchumi wa dunia unavyokwenda.
Ndio maana kuna wakati walikuwa wanapiga kelele kuwa mafuta ya petroli yanauzwa bei juu sana na kwamba hali hiyo inasababishwa na serikali ya CCM. Lakini walikuja kuishiwa nguvu na kupata aibu ya karne pale walipoona Wakenya mbalimbali wanakimbilia Tanzania kununua mafuta kwa kuwa bei yetu ilikuwa ni ndogo ukilinganisha na nchini kwao. Hii ni baada ya serikali ya Rais Samia kuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku ya bilioni mia moja kila mwezi katika mafuta na hivyo kupelekea bei ya mafuta kuwa chini ukilinganisha na majirani zetu.
Ikumbukwe bei ilikuwa imepanda kutokana na kupanda katika soko la dunia, kulikokuwa kumechochewa na kuchangiwa na vita vya Ukraine na Urusi. Ila wao CHADEMA wakawa hawaelewi kitu chochote kile maana wao hawawezagi kuangalia na kujua hali ya dunia inakwenda vipi, na kwamba wao huona kama Tanzania ni kisiwa hapa duniani.
Sasa Mheshimiwa Kafulila amekuwa akiwatwanga kwa hoja nzito na zenye ushahidi wa kutosha na takwimu sahihi, jambo linalowafanya wamuogope sana na kumuona adui wao wa kuwaumbua udhaifu wao na uongo wao na upeo wao mdogo wa masuala mbalimbali hususani ya kiuchumi.
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa
Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Yaani Msigwa au Heche au Lema au Sugu moto chini amwogope 2mbili? Mwashambwa upo muhimbili au milembe?Ni uteuzi mzuri sana uliogusa mioyo ya watu wengi sana. Lakini ambao umeendelea kuiwasha na kuonyesha namna Mheshimiwa Kihongosi alivyo na Nyota kali kama ile iliowaongoza Mama Jusi kwenda alipofichwa Mtoto yesu kristo
Embu acha utani na vichekesho vyako hapa.Hivi kweli unaweza mfananisha Mheshimiwa Kafulila na watu kama sugu au heche au lema au Msigwa?. Kwanza unafahamu elimu ya sugu au lema? Wana uelewa wowote na kanuni za kiuchumi? Usitake kumdhalilisha Mheshimiwa Kafulila hapa.Yaani Msigwa au Heche au Lema au Sugu moto chini amwogope 2mbili? Mwashambwa upo muhimbili au milembe?
CHADEMA na ufahamu wao mdogo wanamuona Mheshimiwa Kafulila kama Mwiba mchungu sana kwao.maana anawaumbua sana udhaifu wao.Spana🤣
CHADEMA hawana hoja zaidi ya Makele yasiyo na mpangilio wa aina yoyote ile.Tuendelee kuamini tunachoamini wakati utasema. Hawa mnaoona wanapalanganyika na kumuogopa David watawaonesha jambo wakati ukifika
Hivi ni Nani anataka kufungia mitandao😂😂.CHADEMA lingekuwa ni Dude kubwa basi tusingeshuhudia kuwa na Mwenyekiti wa Muda wote.lakini inaonyesha CHADEMA hakuna watu na ndio maana chama kipo mfukono mwa mtu mmoja tu